Hakuna anayeweza kuamini, Nami sikati tamaa kisiasa ipo siku

Mkuu kuna thread naitafuta lakini siioni inahusu Tanzania kuazima wataalam wa IT pamoja na ulinzi kutoka Rwanda katika awamu hii ya tano, sijui unaweza ukawa umeshaiona ukaniambia jina la muandishi.

mafisadi hayana rangi
Bado sijaona
 
kaka unapoelekea siko kabisa, tatizo lenu chadema mnaangaika sana, kwanza anza Na history ya HUYO SIMAMA DEDEE wenu
Mkuu mbona kama umetumia ile 'kitu ya masaburi' kufikiri? hebu tumia kichwa mkuu ili uje na kitu cha kueleweka na uonekane umesoma kdg japo elimu yako ni kuungaunga.
 
Naziogopa nyuzi kama hizi kwa sababu malengo yake hayajulikani waziwazi. Kama yeye amefanikiwa kuupata uraia wa Tanzania na hajaonesha usaliti mwacheni awe Mtanzania. Tukianza mambo haya tutajikuta watanzania ni Wagogo na jirani zao hapo kanda ya kati. Kama viongozi wetu wa mwanzo baada ya uhuru wangekuwa na mambo ya kibwege kama haya basi Tanzania kusingekuwa na utaifa uliopo sasa. Marekani imeendelea sababu ya wahamiaji kama huyo unajaribu kumchafua. Obama hasingepata uongozi U.S.A.
 
Ilikuwa mwaka 195* ambapo mama yake alijaribu kutoroka burundi kuja Tanganyika wakati

Lakin kutokana Na uchungu juu ya mimba alokuwa nayo akashindwa, lakin miaka miine baadaye akafanikiwa kutoka Burundi,

Babu yake wa kufikia ndo kamlea wala si mzawa wa familia Ile, Ilikuwa mwaka 196* alipokuja Na mama yake toka Burundi, akiwa kijana Mdogo mama yake alishindwa jinsi ya kumuacha kule Burundi ikabidi aje naye kukimbia machafuko yaliyoendelea,

Mama yake akafikia karagwe, Nkwenda Kagera,kwa mzee laulian Tibandebage,kijiji kinaitwa kishao,
Mama yake akaanza kusaka vibarua,(mushuti) waliitwa kwa jina ilo wafanya vibarua,

Aliangaika sana mpaka kupata pa kujiweka,

Mwaka 196* mama akarudi Bujumbura kwa Mzee Arakaza, akakuta wameshafariki, alilia sana , lakin Kabla ya kwenda Burundi akaamua kumkabidhi mtoto wake katika mikono salama ambayo angeweza kukua vema,


Mwaka 196* ukapita msako wa kuwarudisha wakimbizi kwao, kwakuwa alikuwa Mdogo maskini alikuwa anaenda kulala porini maana msako ilikuwa mkali kila nyumba, kule poli la omugakorongo karagwe kilikuwa Na sehem ya wakimbizi kujificha wakati wa kutaftwa,

Kwakuwa kijana alikuwa mbunifu sana aliamua kwenda kwa wachunga mbuzi Na ng'ombe pale kihanga kuna walalo Na wahima, walimkaribisha sana, Na akawa nao , mpaka walipoama wilaya Na kuhamia wilaya nyingine, ambako maisha yamemnyookea kisiasa,

Miaka kadhaa baada ya kurasimishwa katika jina la ukoo unaomlea akapelekwa shule, akawa kama mtoto wa pale

Baada ya miaka kadhaa kaanza kuonekana mafanikio yake, sasa hivi hakuna asiyemjua, watu wanamlilia,

Kusema kweli nampigia salute.

Msikate tamaa nawe waweza enda Uganda ukawa mwanasiasa,

Samuel,
Wewe Jamaa nyuzi zako zoote kama umetumwa kutoka "Mamlaka ya Juu"
.....mchumia Tumbo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom