jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
Inashangaza sana kuona kuna kelele za wachumia tumbo wakidai katiba mpya.
Nawaita ni wachumia tumbo kwa kuwa hakuna common mwananchi anayedai katiba mpya bali ni viongozi wachache wenye ubinafsi.
Zaidi sijaona andiko lolote la maana na kina kutoka kwa maprofesa wetu wenye elimu za kuunga unga sana lililofanya tathmini ya nini kilichokuwa accomplished na katiba tuliyonayo.
Huwezi kwa upande mmoja ukasema nchi imeendelea au imepiga hatua halafu ukadharau katiba iliyopo...huo ni uhayawani.
Tumefanya chaguzi kadhaa kwa amani kwa katiba iliyopo hivi ni jicho la mchumia tumbo yupi lisilioona ubora wa Katiba iliyopo?
Hebu tuachane na fashion yaani kila akifanyacho mmarekani /mkenya basi na sisi tufanye ilimradi tuonekane tu...
let us stick to the plans of Founders of This nation...tuachane na blah blah.
Ukiwauliza mnataka kubadili nini kwenye katiba hutasikia cha maana zaidi ya issue ya uchaguzi.
#Siungi Mkono Katiba mpya na mijadala yake.
Nawaita ni wachumia tumbo kwa kuwa hakuna common mwananchi anayedai katiba mpya bali ni viongozi wachache wenye ubinafsi.
Zaidi sijaona andiko lolote la maana na kina kutoka kwa maprofesa wetu wenye elimu za kuunga unga sana lililofanya tathmini ya nini kilichokuwa accomplished na katiba tuliyonayo.
Huwezi kwa upande mmoja ukasema nchi imeendelea au imepiga hatua halafu ukadharau katiba iliyopo...huo ni uhayawani.
Tumefanya chaguzi kadhaa kwa amani kwa katiba iliyopo hivi ni jicho la mchumia tumbo yupi lisilioona ubora wa Katiba iliyopo?
Hebu tuachane na fashion yaani kila akifanyacho mmarekani /mkenya basi na sisi tufanye ilimradi tuonekane tu...
let us stick to the plans of Founders of This nation...tuachane na blah blah.
Ukiwauliza mnataka kubadili nini kwenye katiba hutasikia cha maana zaidi ya issue ya uchaguzi.
#Siungi Mkono Katiba mpya na mijadala yake.