Ngoja walete uhuni ndio wata jutaNaunga mkono hoja yako kwa 100% mkuu.
UNASHANGAZA KABISA SURVEY GANI ULIYOFANYA WEWE LABDA SIJUI NCHI GANI SUBIRI KIMBUNGA TAREHE 20.10Hakuna hakuna hakuna, mitaani kote nimefanya survey kubwa Tanzania nzima kwa kweli kila kwenye watu mia basi watano ndio watasema CCM imefanya mazuri na yanahesabika,ila wanaoiponda kwa ubaya ,wanayasema na kwa kweli hayana idadi ni malalamiko mingi sana.
Kuanzia wajasiria mali mpaka waliomo serikalini ,utasikia wakihusisha umasikini wao uliowakumba umesababishwa na watendaji wa CCM na serikali yao kuu kwa ujumla.
Wapo waliofukuzwa kazini ,wapo waliotapeliwa mazao yao ni mambo mengi sana asilimia 95 wameisema CCM na serikali yake kuwa imewasababishia majuto hawajapatapo kuyaona.
Duh 🤐🤐Aisee! Umefanya survey nchi nzima??
Unajua maana ya kufanya survey kijana??
Hakika hii ndio serikali ya chadema awamu ya sita😂😂
Anafurahia uchumi Wa kati eehAnakusalimia.View attachment 1605831
Huo ndiyo ukweli wala huhitaji survey kama za masters degree au PhD maisha yenyewe yanajionyesha. Hata wewe mwenyewe law healer maisha yako hayako kama ulivyokuwa mwaka 2015, umepigika wala usitudanganyeAisee! Umefanya survey nchi nzima??
Unajua maana ya kufanya survey kijana??
Hakika hii ndio serikali ya chadema awamu ya sita😂😂
Ni kweli nimepigika sana Mzee!! Ila kwa kipindi kile nilikuwa napata pesa janja janja sana.Huo ndiyo ukweli wala huhitaji survey kama za masters degree au PhD maisha yenyewe yanajionyesha. Hata wewe mwenyewe law healer maisha yako hayako kama ulivyokuwa mwaka 2015, umepigika wala usitudanganye
Inakuja karibuniAisee! Umefanya survey nchi nzima??
Unajua maana ya kufanya survey kijana??
Hakika hii ndio serikali ya chadema awamu ya sita😂😂
Pole ndugu maana unakosa amani kuona mnavyopuuzwa.Kwa heri ccm karibu mkombozi wetu CDMkipuuzi