Uchaguzi 2020 Hakuna anayeisema CCM kwa wema, Tanzania nzima wanalalamika (95% wanailaumu CCM)

Unafahamu maana ya survey ? unafahamu gharama za Scientific survey ya nchi nzima? CHADEMA kama Chama haina uwezo au maarifa ama haioni ulazima wa sayansi katika kufikia maamuzi yake hata yawe makubwa na muhimu kwa chama.

Kwahiyo umefanya kwa ajili yako au chama au vyama vya upinzani? Je, unaweza kutuwekea SYNOPSIS ya survey yako?

Na siku tukifikia kutumia scientific survey kwa maamuzi muhimu ya chama, basi nchi tutachukua uchaguzi unaofatia.

Mimi ni mpinzani lakini nafahamu mapungufu yetu na nimeya-document kwa undani kabisa. Kujiaminisha mambo ambayo hayapo yanafanya tunajichelewesha wenyewe.

USITUDANGANYE.
 
Baki na upinzani wako, sisi tunamtaka Lissu tuishi kw a amani na furaha na siyo maendeleo ya masimango na matusi. Mchague kipara wewe na familia yako.
 
Hakuna hakuna hakuna, mitaani kote nimefanya survey kubwa Tanzania nzima kwa kweli kila kwenye watu mia basi watano ndio watasema CCM imefanya mazuri na yanahesabika,ila wanaoiponda kwa ubaya ,wanayasema na kwa kweli hayana idadi ni malalamiko mingi sana.

Kuanzia wajasiria mali mpaka waliomo serikalini ,utasikia wakihusisha umasikini wao uliowakumba umesababishwa na watendaji wa CCM na serikali yao kuu kwa ujumla.

Wapo waliofukuzwa kazini ,wapo waliotapeliwa mazao yao ni mambo mengi sana asilimia 95 wameisema CCM na serikali yake kuwa imewasababishia majuto hawajapatapo kuyaona.
UNASHANGAZA KABISA SURVEY GANI ULIYOFANYA WEWE LABDA SIJUI NCHI GANI SUBIRI KIMBUNGA TAREHE 20.10
 
Uchaguzi na uishe tu haya mambo yanachosha kwa kweli kila leo ukiamka unakutana na kitu kipya
 
CCM tulieni wala msifanye fujo tayari vyombo vya dola vimeshaona na vimeshtuka kuwa sasa CCM si salama tena,wamekwisha.

Kuna makundi makubwa sana yataayompa Lisu kura mbali ya wanachama wa Chadema.
Kuna kundi la wanafunzi,kuna kundi kutoka serikalini,kuna kundi kutoka kwenye vyombo vya dola na hapa inasadikiwa ni kundi kubwa sana,kuna kundi ambalo hili linahama na kuhamisha kambi hawa ni CCM wanachama walio hai na wasio hai ni kundi litakaloizika CCM mchana kweupe,hawa ni wabeba kadi za ccm,hawa ni wapenzi wa CCM hawa ni wanaojipitishapitisha wakiwa na mori mzuri tu wa kuitumikia ccm lakini wameshaichoka wanaisubiria tarehe ya kuitapika ccm kwenye sanduku la kura,kama bado una matongo kuna kundi kubwa sana la waislamu na wakiristo mara hii hawafanyi kufuru wanafanya wema wanatumia imani ndogo sana ya kutumia mkono wao kuiondoa CCM.

CCM hawana kura za uraisi Zanzibar zote zinamiminwa kwa Tundu Lisu,sijui nyie ccm mnaoweweseka humu JF mnaouwona ukweli huu,hata humu asilimia kubwa ya wachangiaji wanaipiga vita CCM,fanya survey ya humu ndani JF tu,utahisi CCM wamepungua nguvu sana wapo wapo tu na wao kura zao wanajua hawazipeleki CCM,

Ni historia inayoandikwa na kila mwananchi anataka kushiriki katika historia hii ya kuiondoa CCM kwenye meza na viti. Na wewe msomaji muarifu na mwengine wasipoteze fursa hii.
 
Alafu utashangaa maccm wanavyojitapa eti watashinda kwa kishindo! yani wanawafanya Watanzania maboya wasioona wala kusikia. Ndio maana watu wanajaa mikutano ya Lissu bila matangazo, wanaona wamepata mkombozi.
 
Aisee! Umefanya survey nchi nzima??

Unajua maana ya kufanya survey kijana??

Hakika hii ndio serikali ya chadema awamu ya sita😂😂
Huo ndiyo ukweli wala huhitaji survey kama za masters degree au PhD maisha yenyewe yanajionyesha. Hata wewe mwenyewe law healer maisha yako hayako kama ulivyokuwa mwaka 2015, umepigika wala usitudanganye
 
Huo ndiyo ukweli wala huhitaji survey kama za masters degree au PhD maisha yenyewe yanajionyesha. Hata wewe mwenyewe law healer maisha yako hayako kama ulivyokuwa mwaka 2015, umepigika wala usitudanganye
Ni kweli nimepigika sana Mzee!! Ila kwa kipindi kile nilikuwa napata pesa janja janja sana.

Mfano: Pesa ya kununua mafuta ya gari yangu sikuwahi draw bank/pesa ya mshahara bali kitengo changu kilikuwa kinaruhusu hizi janja janja napata pesa ya kujaza mafuta full tank kila siku na bado nibaki na vijicent vya kukatia mitaa.

Nimeokoka now, sitaki janja janja tena hizi
 
hiko chama tunaenda kukimaliza tarehe 28. chama gani kimejaa hadaa na ulaghai tumekichoka.
 
FB_IMG_1602762303501.jpg
 
IMG_20201020_161500_327.jpg

IMG_20201020_161535_520.jpg

IMG_20201020_161600_472.jpg

IMG_20201020_161634_543.jpg

Chama cha Mbowe cha kipuuzi Sana. Watanzania wazalendo wote, tunakwenda na JPM.
 
Back
Top Bottom