Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,496
- 3,232
Huna lolote wewe..wapo wengi tu walio thubutu kuongea na hata humu ndani wapo walio sema na kuambulia kupigwa ban na thread zao kufutwa. Ukiachana na kina shangazi na Maria. Umesahau ya Roma na Nay?Wote ni binadamu kama wengine na si wao wapo wengi ,ilikuwa bado hajanogewa na kujiamini ,ila baada ya mkuu kuanza kulewa madaraka ,na jingine usizani wote uliowataja ni mamba wengine ni kenge kama sio wote,wewe unatoweka wenzako wanadunda.