Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Nyani Ngabu is mentally sick!Huyu anaejiita Sijui Nyani Ngabu ni hovyo kama walivyowachumia tumbo kama Jerry tu hamna kingine. Kwani wanaposema hakuna aliesalama wanaongelea kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa mujibu wa sheria za nchi au wanaongelea yanaondelea katika kuteka, kutesa na hata kutoa roho kwa wapinzani? Hizi akili fupi siku zote ni shida na janga la kitaifa