Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Nimetafakari inakuwaje Mandela alipotoka jela hakumsamehe kato mkewe( muafrica mwenzake) na akampa talaka eti kwa kua alisaliti ndoa! lakini aliwasamehe waliomfunga maisha.....
Hivi msaliti wa penzi anaweza kua mbaya zaidi ya yule aliyetaka kukuua!!!
Hivi msaliti wa penzi anaweza kua mbaya zaidi ya yule aliyetaka kukuua!!!