Akilipa faini ya kesi anarudi tena kazini!??
Mbona hakimu mwenyewe 'msela' sana..?
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Magomeni, Omary Abdallah(Mwenye fulana ya damu ya mzee) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kushawishi rushwa ya Sh milioni moja na kupokea rushwa ya Sh 500,000/-
View attachment 527642
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Magomeni, Omary Abdallah(Mwenye fulana ya damu ya mzee) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kushawishi rushwa ya Sh milioni moja na kupokea rushwa ya Sh 500,000/-
View attachment 527642
aone kama ni pazuri . wanapenda sana kupeleka wengine na yeyetigo hao...jaza ujazwe hovyo sana
Atapata wakati ngumu sana hukoaone kama ni pazuri . wanapenda sana kupeleka wengine na yeye