Hakimu anapofungwa

Bishanga

JF-Expert Member
Jun 29, 2008
15,323
10,050
Wadau mliobobea katika masuala ya Kaizari (lenedi kakaz) hebu nipeni mawazo yenu. Hivi ni sahihi na pia ni haki Hakimu/Jaji akihukumiwa kufungwa atupwe selo moja na wafungwa wa kawaida na baadhi yao wakiwa ni wale aliowafunga yeye? Sheria za haki za binadamu zanasemaje? Nauliza maana hayo yamemkuta Bi Jamila Nzota former hakimu wa wilaya Temeke.
 
sasa ulitaka wamfunge wapi? Yeye ameshakuwa a criminal. Hivyo jela anaenda kama muuaji na wezi wengine. Ndo fundisho hilo. Watu wanaotengwa ni watoto tu. Na pia kama jela kuna blocks nyingi. Sijui sana kuhusu za bongo. Anaweza kuwekwa pamoja na wale wenye 'light' cases.
 
Kwa hiyo kufinywa,kusutwa,kutishiwa kuuawa na wale uliowafunga ni sehemu ya adhabu?
 
Ndio hapo sasa atajua kama je ule msemo wa "be nice to people on your way up as you may find them on your way down" unaweza tumika kwenye hali zote?
Kazi nyingine kama huwezi kujizuia nakuwa a law-abinding citizen bora usizifanye.
 
Ili haya magereza yaboreshwe wakubwa akina Mkapa, Mramba, Yona, Rostam Aziz, JK, EL, nk nao wayaonje! Kitanda usichokilalia huwezi kujua ukunguni wake! Wao hawafikiri kama siku moja yatakuwa makao yao, kwa hiyo wameyajenga ili wakakae akina kapuku!
 
Ndio hapo sasa atajua kama je ule msemo wa "be nice to people on your way up as you may find them on your way down" unaweza tumika kwenye hali zote?
Kazi nyingine kama huwezi kujizuia nakuwa a law-abinding citizen bora usizifanye.

Hii sio sahihi kabisa, hasa kwa kazi ya uhakimu. Kwa hiyo mlitaka awepe wafungwa adhabu nyepesi kisa kujijengea njia? Amefanya kazi yake, na sasa sheria kama msumeno imemkuta na yeye. Kama ni mwizi, akae na waizi wenzake. Yani cheo chake na uelewa wake wa consequences za matendo yake vingetakiwa kuwa deterrent tosha kwake. Sema ndo hivyo, kaboronga mwenyewe na ale matunda yake.
 
Kwa hiyo kufinywa,kusutwa,kutishiwa kuuawa na wale uliowafunga ni sehemu ya adhabu?

Hapana. Jela sio sehemu isiyo na sheria. Na haitakiwi kuwa sehemu isiyo na sheria. Akiona hali mbaya si anawashtua walinzi. Kwani hawako huko jela?
 
Hawezi kuchaguliwa sehemu ya kufungwa yeye peke yake unless mkono wa mtu mkubwa uwepo ila mara nyingine for security purposes na kama ina compromise her safety,another place could be arranged coz still bado mfungwa ana haki ya kulindwa na serikali na haki zake kusimamiwa ingawa kwa tanzania thats the opposite.
 
Jela ipo kwa wakosaji wote. kama hakimu, alijua wakati anatenda kosa kuwa akikamatwa atapelekwa hukohuko na siyo hotelini
 
Wadau mliobobea katika masuala ya Kaizari (lenedi kakaz) hebu nipeni mawazo yenu. Hivi ni sahihi na pia ni haki Hakimu/Jaji akihukumiwa kufungwa atupwe selo moja na wafungwa wa kawaida na baadhi yao wakiwa ni wale aliowafunga yeye? Sheria za haki za binadamu zanasemaje? Nauliza maana hayo yamemkuta Bi Jamila Nzota former hakimu wa wilaya Temeke.

There is a German saying that can be translated in English as:`There are no stupid questions but stupid answers´

Your post makes me think that this saying is none sense......I might have come across a stupid question.
 
Kale kautaratibu ka JK ka kutembelea magereza na sehemu zingine kwa kushtukiza kaliishia wapi? Angalau maboresho yangefanyika kama angeendeleza kautaratibu hako!
 
There is a German saying that can be translated in English as:`There are no stupid questions but stupid answers´

Your post makes me think that this saying is none sense......I might have come across a stupid question.
BabaJ hivi Daktari akimuuliza fundi mchundo ni sehemu gani ya ku check oil kwenye gari,pamoja na kwamba katika taalum ya umakenika hilo swali ni trivial,hivi fundi atamwambia Daktari kwamba hilo ni swali la kijinga? BabaJ inawezekana wewe umebobea katika taaluma ya sheria ndo maana swali langu unaliona ni la kijinga lakini kumbuka si wana JF wote wamebobea katika fani na ndio maana wahenga walisema 'kuuliza si ujinga',verstanden Sie? irgend wie es get mir schon ihnen zu lessen,vielen dank und herzlich willkomen!
 
Back
Top Bottom