BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
NIDA WAMETOA MWONGOZO
KUTOKANA NA MALALAMIKO
KWA BAADHI YA NAWAKALA KUTUMUA NAMBA ZA WATU ZA nida kutengeneza line za watu
Serikali kushirikiana na nida inaomba kila mwananchi kuhakiki kama namba zilizopo n za KWAKE ama.LAH
NENDA *106# hapo elekea namba 2 andika namba ZAKO za nida ukionaa utitiri WA namba usizozijua nenda KARIBU na duka LA TIGO.AIRTEL.VODA NK
WAPE namba hizo wataziblock
Ikumbukwe mawakala wamekuwa wakishikiza watu kidole na KUSEMA network mbovu KUMBE wanasajili line mpya za kuwauzia watu
Zoezi HILI n endelevu leo nimekuta namba TATU sizijiui kwenye list naelekea asbh na mapema kuzifunga namba hizo
KUTOKANA NA MALALAMIKO
KWA BAADHI YA NAWAKALA KUTUMUA NAMBA ZA WATU ZA nida kutengeneza line za watu
Serikali kushirikiana na nida inaomba kila mwananchi kuhakiki kama namba zilizopo n za KWAKE ama.LAH
NENDA *106# hapo elekea namba 2 andika namba ZAKO za nida ukionaa utitiri WA namba usizozijua nenda KARIBU na duka LA TIGO.AIRTEL.VODA NK
WAPE namba hizo wataziblock
Ikumbukwe mawakala wamekuwa wakishikiza watu kidole na KUSEMA network mbovu KUMBE wanasajili line mpya za kuwauzia watu
Zoezi HILI n endelevu leo nimekuta namba TATU sizijiui kwenye list naelekea asbh na mapema kuzifunga namba hizo