mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,572
- 9,809
Mengi yalisemwa kuhusu YEYE pale aliposhambuliwa kwa jaribio la kioga ili kuweza kupoteza maisha yake. Zilijengwa hoja hafifu ili kuhalalisha udhalimu ule, kumbe wabaya wake hawakutambua ili mbegu iote ni lazima ichimbiwe ardhini na kisha imee na hatimaye iweze kugeuka kuwa mche na baadaye mti wenye matunda mema.
Kila kitu kimekwisha kugeuka! Zilianza kampeni kwa watu kuwa na woga wa kumlaki na hata kuhudhiria mikutano yake. Watu walitishiwa pale endapo wangeonekana ktk mikutano yake hasa watumishi wa umma. Viongozi wenye mashaka mengi wa kidini walijikwepa naye. Waburudishaji wa Bongo fleva na hata wana habari na vyombo maarufu vya habari vilijngiwa na hofu kuonekana vikijihusisha naye.
Kule mkoa wa Mbeya walisema ni ngome yake. Sumbawanga ikaongea, Katavi nayo ikaongea. Kagera ikapaza sauti. Sasa! Sasa! Sasa! Hata Geita! Ngome ya Mkulu nayo inashikwa na midadi na kuongea!
Kweli huyu ni "Victor" aliyeandaliwa kupitia mpango wa Mungu ili apate kuwaongoza Watanzania, ili haki ya Mungu ikapate kutawala. Sauti ya mbaali sana ya mtumishi wa Mungu Bagonza ilinong'oneza, Mzee wa upako naye hayupo nyuma, mtumishi mwingine Mwingira naye ameanza kupaza sauti.
Sasa imekuwa ni kubana tu na kiachia. Huwezi kuyazuia mafuriko ya maji ama gharika kwa mikono. Hakika Tundu Lissu ni chaguo la Mungu, na kwa hakika ni "real living miracle"
It is honour to be part of winning team, and it not honour to be part of few violent criminals. Tundu Lissu huyu hapa kila mwenye kuguswa na kesho ya Tanzania yetu ni lazima ampe kura yake. Tarehe 28-10-2020 siyo mbali kutoka siku hii ya leo, mimi ana kura yangu, vipi wewe?
Kila kitu kimekwisha kugeuka! Zilianza kampeni kwa watu kuwa na woga wa kumlaki na hata kuhudhiria mikutano yake. Watu walitishiwa pale endapo wangeonekana ktk mikutano yake hasa watumishi wa umma. Viongozi wenye mashaka mengi wa kidini walijikwepa naye. Waburudishaji wa Bongo fleva na hata wana habari na vyombo maarufu vya habari vilijngiwa na hofu kuonekana vikijihusisha naye.
Kule mkoa wa Mbeya walisema ni ngome yake. Sumbawanga ikaongea, Katavi nayo ikaongea. Kagera ikapaza sauti. Sasa! Sasa! Sasa! Hata Geita! Ngome ya Mkulu nayo inashikwa na midadi na kuongea!
Kweli huyu ni "Victor" aliyeandaliwa kupitia mpango wa Mungu ili apate kuwaongoza Watanzania, ili haki ya Mungu ikapate kutawala. Sauti ya mbaali sana ya mtumishi wa Mungu Bagonza ilinong'oneza, Mzee wa upako naye hayupo nyuma, mtumishi mwingine Mwingira naye ameanza kupaza sauti.
Sasa imekuwa ni kubana tu na kiachia. Huwezi kuyazuia mafuriko ya maji ama gharika kwa mikono. Hakika Tundu Lissu ni chaguo la Mungu, na kwa hakika ni "real living miracle"
It is honour to be part of winning team, and it not honour to be part of few violent criminals. Tundu Lissu huyu hapa kila mwenye kuguswa na kesho ya Tanzania yetu ni lazima ampe kura yake. Tarehe 28-10-2020 siyo mbali kutoka siku hii ya leo, mimi ana kura yangu, vipi wewe?