SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Wangekuwepo kina Tundu Lissu kama kumi nadhani viongozi wa serikali wasingekuwa wanakurupuka kufanya maamuzi yenye kuliletea taifa hasara wangekuwa wanaomba ushauri wa kisheria kabla ya kufanya jambo lolote kuliepusha taifa na hasara za kizembe!
Mh Tundu Lissu nikupe shukrani kwa kuwa mzalendo kuweka wazi mali za taifa letu imeshikiliwa Canada kwa sababu ya maamuzi mabaya ya kiongozi ila wao walitaka wafanye kwa siri na walipe kwa siri bila wananchi kujua hakika uko walipo waliotuletea hasara kwa maamuzi yao mabaya na ya kukurupuka pasipo kuomba ushauri watakuwa wanasikilizia maumivu ya sindano baada ya kuwaingia barabara!
Mh Tundu Lissu nikupe shukrani kwa kuwa mzalendo kuweka wazi mali za taifa letu imeshikiliwa Canada kwa sababu ya maamuzi mabaya ya kiongozi ila wao walitaka wafanye kwa siri na walipe kwa siri bila wananchi kujua hakika uko walipo waliotuletea hasara kwa maamuzi yao mabaya na ya kukurupuka pasipo kuomba ushauri watakuwa wanasikilizia maumivu ya sindano baada ya kuwaingia barabara!