Hakika sasa nimeamini alichosema Dr. Slaa kuhusu Kikwete

Mleta nadhani hujui kabisa kwa nini Kikwete anasafiri, upunguani wako wa muono na uhaba wako wa kusafiri unakufanya uone kuwa safari ni matanuzi.

Hivi, wewe unajuwa isingekuwa hizi safari leo ungekuwa katika dhiki mara 10 zaidi?

Hivi haya ma gesi yanayovumbuliwaa kila kukicha, haya matalii yanayozidi kila kukicha, haya mahoteli mpaka imefikia kuwa Tanzania ndio imetowa hoteli bora duniani, unafikiri inakuja tu yenyewe? hata bajeti yetu, ingawa kikwete kapunguzi sana utegemezi wa bajeti kutoka nje, lakini still tunahitaji kujazilia, mpaka hapo mambo yatapokuwa mazuri.

Tafadhali kama hauna cha kusema bora ukae kimya.

Kila siku huwa nasema humu, hebu tuchambuwe mambo muhimu tuone ni Rais yupi aliefanya zaidi ya Kikwete? nakuhakikishia huna hata moja.

Si bora Kikwete anakwenda kikazi, Mkapa alienda kupunguza unene Switzerland akaiacha ofisi zaidi mwezi. Kuna hata mmoja alinyanyua sauti aksema kwii.

Nyinyi mnajulikana chuki zenu kwa Kikwete ni kwa nini. Lakini kwa utendaji bora na uchapa kazi, nawapa challenge, hakuna aliyemfikia hata robo. Tusiandikie mate na woino upo.

Barabara? KM ngapi kwa awamu zote? KM ngapi kwa Kikwete? amma zimeshajengwa au mikataba imesha sainiwa.

Mtarusha hili kama kawaida yenu.




Naogopa ban. Ngoja nipite
 
nyerere alitoa hicho kisingizio kutokana na udini. Kwa wakati ule alitaka mkatoliki mwenzake aongoze nchi, ikabidi atumie udikteta kumweka mkapa. Kikwete katufanyia mengi mazuri sana. Mkuu wetu halali, anaihangaikia nchi, anasafiri huku na kule kututafutia sisi wananchi maisha bora. Baba mwenye nyumba siku zote ni mwangaikaji, hawezi kukaa tu nyumbani! Lazima akatafute!!
acha utoto wewe, mbona kwa mfalme wa swazilend alifuata mademu au we hujui?, je juzi botswana hujui kwamba alihudhuria sherehe za kuzaliwa chama tawala cha uko, unajidanganya dogo, kama huna hoja heri usichangie kitu
 
sote kwa pamoja tukifanya kazi kwa bidii hatutauona ugumu wa maisha.tatizo ni kwamba tunaisubiri serikali ituletee neema na maisha bora kwa blaa blaa bila kazi.haiwezekani
 
acha utoto wewe, mbona kwa mfalme wa swazilend alifuata mademu au we hujui?, je juzi botswana hujui kwamba alihudhuria sherehe za kuzaliwa chama tawala cha uko, unajidanganya dogo, kama huna hoja heri usichangie kitu


we ni mpotoshaji wewe huna lolote.kikwete kafanya kazi sana sema nyie walalamikaji ndio hamtaona daima
 
[h=6]takwimu zinaonyesha lipo kundi la vijana wanaoishia kuitupia serikali lawama wakidai haiwajali..vijana wamekuwa mashabiki wakubwa wa vyama vya siasa pasipo kutambua wanapoteza muda mwingi kwa mambo ambayo hayana manufaa 1 kwa 1,maana hakuna anaejua mwanasiasa gani akiingia madarakani maisha yatakuwa bora kwa kila mtanzania so vijana tujiajiri katika fani mbali mbali........[/h]
 
Maendeleo hayaletwi na chama fulani jamani! bali yanaletwa watu wachapakazi wasio walalamikaji
 
Ugumu wa maisha kiuchumi hauletwi na Rais peke yake kuna factors nyingi zinazosabisha umaskini. Ugumu wa maisha kisiasa na hasa siasa za minyukano ya chadema na CCM unaletwa na Rais peke yake haijapata kutokea duniani.
 
Kila analosema Dr Slaa ni la kweli? Mengine anajisemea ili kukidhi haja ya ushindani wa kisiasa. Ndivyo siasa zilivyo duniani kote kutoka chama cha upinzani kwenda chama kinachotawala.

Jiulize kuna wakati wowote umewahi kumsikia Dr akimsifu JK. Aghalabu hata la kukubali kwa Jk kukutana na chadema Ikulu hajaona lina maana.
 
inabidi waliompigia kura wote wanyongwe

Huna haki ya kusema hivyo kwa sababu hata ndani ya familia yako si wote ni CHADEMA na kama wote ni CHADEMA basi mlipoteza kura zenu kumpigia mtu ambaye hakushinda na siku zote mnatakiwa kulijutia hilo na si kumchukia yule aliyeshinda ambaye kwa vyovyote vile lazima mkubali kuwa ndiye Rais wenu.
 
tuanzishe ibada maarum kumuombea ****** jamani, Taifa tayari limemshinda mh Jakaya. tena anaweza akapitia kwa king MSWATI kuangalia vibinti si ndio time yake

Fanya ibadi kuombea maisha yako na wanao kwanza kama kweli wewe ni muamini.
 
Kila analosema Dr Slaa ni la kweli? Mengine anajisemea ili kukidhi haja ya ushindani wa kisiasa. Ndivyo siasa zilivyo duniani kote kutoka chama cha upinzani kwenda chama kinachotawala.

Jiulize kuna wakati wowote umewahi kumsikia Dr akimsifu JK. Aghalabu hata la kukubali kwa Jk kukutana na chadema Ikulu hajaona lina maana.

Mama porojo, hawa jamaa wanatakiwa kujiuliza kwanza usafi wa huyu DR. Slaa na wakisharidhika kuwa yeye ni msafi kwa asilimia mia moja ndiyo walete huu ***** wao...kwa mimi binafsi siku zote siwezi kumkubali mtu anayemnyang'anya mwanaume mwenzake mke kama alivyofanya Slaa kwa mzee Mahimbo... hakika hii dhambi itaendelea kumtafuna siku zote kwa sababu hata kwenye maandiko matakatifu hili ni katazo kubwa.
 
Rais asiposafiri hatuli?
Rais asiposafiri hatuingii mikataba?
Rais asiposafiri Watumishi wa serikali hawalipwi mishahara!

Hii inaonyesha jinsi mwandishi ulivyo na mawazo tegemezi yanayo kufanya uamini kwamba huku majuu kuna fedha ya bure ni spidi yako tu kuja kujichekesha chekesha ili uchukue.

Wazungu wanalala macho kupanga mbinu za kuwafanya Marais wote wa Afrika kuwa na akili kama ya Kikwete au iliyo hafifu na tete zaidi!
Wewe unadhani kutembea na bakuli la Matonya ni sifa namba moja ya kufanya kazi kwa bidii??

Mika 50 ya Uhurubado kilimo ambacho Serikali ya CCM inadai ndiyo uti wa mgongo kinalimwa kwa jembe la mkono.
Hiki ni kilimo cha Kijima.
Miaka 50 ya Uhuru bado tunashindwa kuelectrify hata jiji la Dar wewe unadai Umatonya ndiyo maendeleo?
Miaka 50 ya Uhuru bado Rais wa nchi hajui kwa nini nchi yake ni masikini,pia hajui kwa nini mawazo yake namatendo yake kama mkuu wa nchi yanaitia nchi katika umasikinimkuu kila dakika?

Mawazo ni dhahabu, lakini kunamawazo kinyesi vilevile.

Mtu anawaza kumaintain familia yake kwa ujira na kipato cha jirani ana mawazo kinyesi.
Mtu huyu kuna siku ataazimisha mkewe akalale na jirani yake ili anunue sutikwa madai kwamba ile kitu ni Halua haina makombo.

Watu wanaingiza mabilioni kwa mikataba ya kusaini kwenye vyumba vya Mahoteli mazito huko Ulaya? Hatujiulizi maswali;
Walikuwa wakisaini wakiwa juu ya vifua vya akina dada? Au walisaini njemba zikiwa zimepack makalioni?

Kuna mambo ya kibasha yanaendelea kati ya Viongozi wa kitaifa na Mashirika makubwa kama Barick Gold mine. Watu na suti zao wanapigwa mijengo ya wazi.

Ndiyo maana wale jamaa wanalilia wakiomba sultan arudi ili waingie tena utumwani waendelee kula bure.

Kupita na suti kwenye mitaa ya Pikadili na Bakuli la matonya si Fahari, Ujanja au Sifa ya kutolewa Tuzo.

Ni Mahabithi,Mafisadi na wale tu wenye akili tete ndiyo hujivunia ukengeufu huo.

Mleta nadhani hujui kabisa kwa nini Kikwete anasafiri, upunguani wako wa muono na uhaba wako wa kusafiri unakufanya uone kuwa safari ni matanuzi.

Hivi, wewe unajuwa isingekuwa hizi safari leo ungekuwa katika dhiki mara 10 zaidi?

Hivi haya ma gesi yanayovumbuliwaa kila kukicha, haya matalii yanayozidi kila kukicha, haya mahoteli mpaka imefikia kuwa Tanzania ndio imetowa hoteli bora duniani, unafikiri inakuja tu yenyewe? hata bajeti yetu, ingawa kikwete kapunguzi sana utegemezi wa bajeti kutoka nje, lakini still tunahitaji kujazilia, mpaka hapo mambo yatapokuwa mazuri.

Tafadhali kama hauna cha kusema bora ukae kimya.

Kila siku huwa nasema humu, hebu tuchambuwe mambo muhimu tuone ni Rais yupi aliefanya zaidi ya Kikwete? nakuhakikishia huna hata moja.

Si bora Kikwete anakwenda kikazi, Mkapa alienda kupunguza unene Switzerland akaiacha ofisi zaidi mwezi. Kuna hata mmoja alinyanyua sauti aksema kwii.

Nyinyi mnajulikana chuki zenu kwa Kikwete ni kwa nini. Lakini kwa utendaji bora na uchapa kazi, nawapa challenge, hakuna aliyemfikia hata robo. Tusiandikie mate na woino upo.

Barabara? KM ngapi kwa awamu zote? KM ngapi kwa Kikwete? amma zimeshajengwa au mikataba imesha sainiwa.

Mtarusha hili kama kawaida yenu.
 
Serikali inabidi iwekemazingira yeye kuleta hamasa kwa wananchi kulete maendeleo.
Suala la haki.
Serikali ni azima isimamie haki- Mahakma zitoe haki Ploisi waache kunyanyasa raia kwa nia ya kuwavuna Rushwa.
Serikali iache kunyang'anya ardhi ya wananchi na kuwapa wageni mifano ipo mingi sana.
Serikali iache kuwatetea wawekezaji makaburu wanao chafua Hewa, vyanzo vya mito, ardhi na kuleta madhara makubwa ya moja kwa moja kwa mali na maisha yawananchi. Mfano Mashirika yanayo chimba Madini ya dhahabu yanatumia maji mengi na Kemikali za sumu kuextract dhahabu ambazo huziachia zitiririke mitoni na kuleta maafa ya kansa kwa wananchi na vifo vya wanyama lakini serikali inatumia polisi na bunduki kulinda uuaji huu.
Pia inakanusha uwepo wa umwagaji wa sumu na madhara yanayolipotiwa na wananchi na haiko tayari kufanya uchunguzi wowote.

Kufanya kazi kwa bidii maana yake nini?

Kama kipato chako ni 150,000 ukifanaya kazi kwa bidii utapata zaidi??

Kama wewe ni mkulima wa Pamba Kahawa Mahindi Machungwa au Mwani Ukifanya kazi kwa bidii zaidi huku serikali ikishiriki kukulalia bei ya unachouza utapata zaidi kwa kufanya kazi kwa bidii na bila kulalamika?

Ni bidii ipi unayoiongelea? Ni uchapakazi upi??

Kodi haikusanywi yote na ile inayokusanywa inaliwa na Viongozi wa serikali kwa kupanga mipango ya ovyo na kuingia mikataba kinyemela, sasa wewe karani wa kodi ukifanya kazi kwa bidii maendeleo ya nchi yataletwa vipi????


Watu wachape kazi wasilalamike? Are kidding me?
Ina maana walioko serikalini kwako ni miungu?
Kazi yao iwe na makosa isiwe na makaosa sisi wananchi hatuna haki ya kufungua midomo yetu, kuchukua kalamu na kuwapa ujumbe mbigili?

Kulalamikia jambo ni kinyume cha kulisifia jambo.
Mwenye kutaka kuwasifia alete sifa zao hapa nasi tutazichambua kikamilifu.
Mwenye kuwapa lawama na kuwatupia myai viza naye alete hapa nasi tutachambua lawama hizo kiyakinifu.
Kuna shilingi yenye upande mmoja??
Hapa sidhani kama mtu anapendwa hapa JF kwa uzuri wa jina au avatar yake, inapendwa hoja yenye miguu mipana ya kusimama imara. Hoja iliyoshiba.

Maendeleo hayaletwi na chama fulani jamani! bali yanaletwa watu wachapakazi wasio walalamikaji
 
Mi huwa nasemaga tumpe kichapo kila akopita kama paka mwizi mwishoe atajitoa lakini sipati sapoti maana 2015 mbali wazazi huyu mcheza ngoma inabidi tumalizane nae very soon..............hali ngumu sasa wazazi
 
Back
Top Bottom