The Stig
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,113
- 1,105
Mleta nadhani hujui kabisa kwa nini Kikwete anasafiri, upunguani wako wa muono na uhaba wako wa kusafiri unakufanya uone kuwa safari ni matanuzi.
Hivi, wewe unajuwa isingekuwa hizi safari leo ungekuwa katika dhiki mara 10 zaidi?
Hivi haya ma gesi yanayovumbuliwaa kila kukicha, haya matalii yanayozidi kila kukicha, haya mahoteli mpaka imefikia kuwa Tanzania ndio imetowa hoteli bora duniani, unafikiri inakuja tu yenyewe? hata bajeti yetu, ingawa kikwete kapunguzi sana utegemezi wa bajeti kutoka nje, lakini still tunahitaji kujazilia, mpaka hapo mambo yatapokuwa mazuri.
Tafadhali kama hauna cha kusema bora ukae kimya.
Kila siku huwa nasema humu, hebu tuchambuwe mambo muhimu tuone ni Rais yupi aliefanya zaidi ya Kikwete? nakuhakikishia huna hata moja.
Si bora Kikwete anakwenda kikazi, Mkapa alienda kupunguza unene Switzerland akaiacha ofisi zaidi mwezi. Kuna hata mmoja alinyanyua sauti aksema kwii.
Nyinyi mnajulikana chuki zenu kwa Kikwete ni kwa nini. Lakini kwa utendaji bora na uchapa kazi, nawapa challenge, hakuna aliyemfikia hata robo. Tusiandikie mate na woino upo.
Barabara? KM ngapi kwa awamu zote? KM ngapi kwa Kikwete? amma zimeshajengwa au mikataba imesha sainiwa.
Mtarusha hili kama kawaida yenu.
Naogopa ban. Ngoja nipite