Mchaga 25
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 464
- 114
Wengi wetu wana JF tunaweza tukawa hatutaki kukubali la ukweli ni kwamba anguko lilotokea la TSH lilitokana na RA kutoa amana zake katika mabank yetu, Kuuza hisa zake vodacom na Airtel, ndio matokeo yake wewe uliyoyashuhudia.
Na huu ni upuuzi mkubwa ambao uliachiwa watu wachache kuweza kuhoodhi uchumi wa nchi na kusababisha wengi kuwa wasindikizaji wa wananchi.
Rostam kwasasa na familia yake wako ughaibuni baada ya kula mema ya wapumbavu, sasa hivi hela yake inayozunguaka ni ile iliyoko barrick tu na si vinginevyo.
Watanzania tutaibiwa hivi hata lini? amka sasa, huu mpango wa bank kuu wa kustablize shilling ni wa muda tu, nini hatima ya huu upuuzi??
Nawasilisha
Na huu ni upuuzi mkubwa ambao uliachiwa watu wachache kuweza kuhoodhi uchumi wa nchi na kusababisha wengi kuwa wasindikizaji wa wananchi.
Rostam kwasasa na familia yake wako ughaibuni baada ya kula mema ya wapumbavu, sasa hivi hela yake inayozunguaka ni ile iliyoko barrick tu na si vinginevyo.
Watanzania tutaibiwa hivi hata lini? amka sasa, huu mpango wa bank kuu wa kustablize shilling ni wa muda tu, nini hatima ya huu upuuzi??
Nawasilisha