Hakika rais alikuwa sahihi: 'Tukiwakamata mafisadi uchumi utayumba'

Mchaga 25

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
464
114
Wengi wetu wana JF tunaweza tukawa hatutaki kukubali la ukweli ni kwamba anguko lilotokea la TSH lilitokana na RA kutoa amana zake katika mabank yetu, Kuuza hisa zake vodacom na Airtel, ndio matokeo yake wewe uliyoyashuhudia.

Na huu ni upuuzi mkubwa ambao uliachiwa watu wachache kuweza kuhoodhi uchumi wa nchi na kusababisha wengi kuwa wasindikizaji wa wananchi.

Rostam kwasasa na familia yake wako ughaibuni baada ya kula mema ya wapumbavu, sasa hivi hela yake inayozunguaka ni ile iliyoko barrick tu na si vinginevyo.

Watanzania tutaibiwa hivi hata lini? amka sasa, huu mpango wa bank kuu wa kustablize shilling ni wa muda tu, nini hatima ya huu upuuzi??

Nawasilisha
 
Waziri Mkuu alisema kuwa hawa jamaa wana Nguvu sanaaaa!...kumbe wengi hatukumwelewa alichomaanisha!
 
Hakuna mwenye akili hapa tz kama rostam, kubali ukatae...na bado hajamaliza mission yake...em ngoja kwanza tuone 2015.
 
Rostam, mbona cover yake limeshakuwa blown na pia nyalandu cover lake limekuwa blown pia yani ndio maana naipenda Tanzania.
 
Rostam, mbona cover yake limeshakuwa blown na pia nyalandu cover lake limekuwa blown pia yani ndio maana naipenda Tanzania.

Tukubali kuitwa wajinga. Sijawahi kusikia serikali inasema inawaogopa wezi. Pamoja na ku-blow up cover, watyu hawa bado tunaendelea kuwaona tena wanatukejeli, na wanatucheka kwa kutuona wajinga. Hii ndio Tanzania yetu, tulipiga kelele kuwa wezi wezi wezi. Wezi wakajitokeza na kusema sisi sio wezi tukathibitisha hawajakanusha m tukasema tunwaogopa.
 
Jamani Tz hatuna serikali, iliyopo madarakani ni serikali kivuli, mafisadi ndo wanaongoza hii nchi.
 
Wengi wetu wana JF tunaweza tukawa hatutaki kukubali la ukweli ni kwamba anguko lilotokea la TSH lilitokana na RA kutoa amana zake katika mabank yetu, Kuuza hisa zake vodacom na Airtel, ndio matokeo yake wewe uliyoyashuhudia.

Na huu ni upuuzi mkubwa ambao uliachiwa watu wachache kuweza kuhoodhi uchumi wa nchi na kusababisha wengi kuwa wasindikizaji wa wananchi.

Rostam kwasasa na familia yake wako ughaibuni baada ya kula mema ya wapumbavu, sasa hivi hela yake inayozunguaka ni ile iliyoko barrick tu na si vinginevyo.

Watanzania tutaibiwa hivi hata lini? amka sasa, huu mpango wa bank kuu wa kustablize shilling ni wa muda tu, nini hatima ya huu upuuzi??

Nawasilisha

Nilisha sema kuwa RA ni yote katika yote katika nchi hii. RA ndiye boss, ni yeye ndiye anaamua nani awe nani, nani auwawe nani apewe sumu afe taratibu nk, huyu ndiye bosi wake nkweree.
 
Wengi wetu wana JF tunaweza tukawa hatutaki kukubali la ukweli ni kwamba anguko lilotokea la TSH lilitokana na RA kutoa amana zake katika mabank yetu, Kuuza hisa zake vodacom na Airtel, ndio matokeo yake wewe uliyoyashuhudia.

Na huu ni upuuzi mkubwa ambao uliachiwa watu wachache kuweza kuhoodhi uchumi wa nchi na kusababisha wengi kuwa wasindikizaji wa wananchi.

Rostam kwasasa na familia yake wako ughaibuni baada ya kula mema ya wapumbavu, sasa hivi hela yake inayozunguaka ni ile iliyoko barrick tu na si vinginevyo.

Watanzania tutaibiwa hivi hata lini? amka sasa, huu mpango wa bank kuu wa kustablize shilling ni wa muda tu, nini hatima ya huu upuuzi??

Nawasilisha
Kutoa amana zake bank na kuuza hisa zake bado si sababu tosha ya kuyumba kwa uchumi wa nchi yetu, tatizo kubwa ni nchi kuendeshwa kimjini mjini zaidi lakini si hisa na amana za RA labda utuwekee hapa hizo amana ni kiasi gani, thamani ya hisa zake kwenye hayo makampuni alizouza na jinsi bank kuu ilivyoruhusu uhamishaji mkubwa wa pesa kiasi kwamba uchumi unayumba!
 
Back
Top Bottom