mawazo yangu ni mchango tosha na buum si ela ya kupiga domo kiac hicho pov jing utafikiri autarudisha we jpange ukasome leta mbwebwe t
thanks comrade for this compliment , am hiumble,and i appreciate ...Ndugu zangu wanaJF haswa sisi tuliobahatika kupata Loan kutoka heslb, hakika twapaswa kumshukuru mungu na si majivuno ukizingatia kuna wenzetu wamekosa, tena mimi ni mfano wa waliochaguliwa course zisizo na kipaumbele na tumebahatika kupata mikopo.
JF Imekua msaada kwangu toka nilipojiunga nikiwa ndio naingia form 6 na nimejifunza mengi kutoka wa wanachama na shukrani maalumu nazipeleka kwa bwana Maganga Mkweli jamaa amekua msaada kwangu toka tarehe 1 mwezi wa 5 yalipotoka matokeo ya kidato cha sita, amenishauri, uchaguzi wa vyuo, uchaguzi wa course hadi namna ya kujaza form za heslb na hatimae nimefanikiwa ingewezeka ningeleta PM zote hapa kama ushahidi lakini sheria za JF haziruhusu.
Ningeweza hata kumtumia japo ka-elfu ishirini anunulie vocha lakini nimeamua kuchangia JF pindi nitakapo pata boom ingawa nimeambiwa pesa zile si nyingi lakini nitapiga Lampard, 101 ili mradi nitimize ahadi yangu.
Nawashauri na wenzangu mwaweza kuchukua hata kiasi kidogo cha boom mkaichangia JF ili majukwaa haya yaje kuwasaidia wadogo zetu ikiwezekana watoto zetu.
Ahsanteni, kwa kuniunga mkono.
Ipycalypse.
acha u bongolala wewenina uhakika mwez ujao maelezo yatakua tofaut
Mganga mkweli mimi na mkubali sana huyu jamaa..bro! Endelea na moyo huo huo asee
kwenye mabano hapo wewe unasoma? Alafu acha kudandia treni kwa mbele ,alafu sio kila thead unachangia jukwaa la majungu linakufaa sanamawazo yangu ni mchango tosha na buum si ela ya kupiga domo kiac hicho pov jing utafikiri autarudisha we( jpange ukasome )leta mbwebwe t
thanks comrade for this compliment , am hiumble,and i appreciate ...
JUST REMEMBER THIS SHARING IS CARING
Jambo jema kuchangia JF ili tuweze kuwezesha kimawazo na ushauri watu wengine tukomboe jamii yetu iliyo gizani
piga shule tukomboe nchi
regards