Hakika nimepoteza nguvu zangu bure

Nadhani ni pesa za majini hizo na mikataba yake ni kufanya mapenzi na kanga, bata na kuku. Hivyo kwetu ni vitoweo sio wakezze. Mihela mingine bure kabisa. We mangi wa wapi??
 
We ni mchekeshaji mzuri tumia vizuri kipaji chako upate izo pesa kiukweki
 
Ukisikia mtu anacheza na bata mzinga unajua tu huyo hana akili. Mwenye akili angekuwa anacheza na watoto yatima sehemu,watoto wake,au anapanga namna ya kuongeza pesa anunue magari ya ukweli n.k siyo kucheza na bata.au kutupa pesa halafu mwanaume unainama unaokota hii ni ishara mbaya sana

yo gud at this
 
Wee huoni kama umejiloga mwenyewe?
Zamani nilidanganywa kwa kuambiwa kuwa ukiwa na pesa utapata kila kitu, kweli nikapambana na nikafanikiwa kwa kiasi chake.

Ki ufupi nimewekeza kwenye biashara zisizofilisika. Na kwa siku napata laki nane hadi tisa (hiyo ni faida kwa kila siku).

Ila kinachonishangaza nimejikalia tuu nyumbani nacheza na kuku,mabata mzinga na kanga.

Kuna saa naweza kubeba milioni kama ishirini hivi nikazirusha zikasambaa chumbani ili angalau nipate kazi ya kuziokota na kuanza kuzihesabu tena.

Eti naweza kuwa nimelogwa? Au ni kawaida
 
Zamani nilidanganywa kwa kuambiwa kuwa ukiwa na pesa utapata kila kitu, kweli nikapambana na nikafanikiwa kwa kiasi chake.

Ki ufupi nimewekeza kwenye biashara zisizofilisika. Na kwa siku napata laki nane hadi tisa (hiyo ni faida kwa kila siku).

Ila kinachonishangaza nimejikalia tuu nyumbani nacheza na kuku,mabata mzinga na kanga.

Kuna saa naweza kubeba milioni kama ishirini hivi nikazirusha zikasambaa chumbani ili angalau nipate kazi ya kuziokota na kuanza kuzihesabu tena.

Eti naweza kuwa nimelogwa? Au ni kawaida
Hujajua kutumia pesa zikakuweka busy mpaka ukaomba likizo kama Bill Gates
 
Siku hizi umeacha kula makombo ya misosi wanayoacha washkaji bar?

 
Zamani nilidanganywa kwa kuambiwa kuwa ukiwa na pesa utapata kila kitu, kweli nikapambana na nikafanikiwa kwa kiasi chake.

Ki ufupi nimewekeza kwenye biashara zisizofilisika. Na kwa siku napata laki nane hadi tisa (hiyo ni faida kwa kila siku).

Ila kinachonishangaza nimejikalia tuu nyumbani nacheza na kuku,mabata mzinga na kanga.

Kuna saa naweza kubeba milioni kama ishirini hivi nikazirusha zikasambaa chumbani ili angalau nipate kazi ya kuziokota na kuanza kuzihesabu tena.

Eti naweza kuwa nimelogwa? Au ni kawaida
Uliwahi kupata ajali ukaumia kichwa? Kama bado tembelea kituo cha afya kilicho karibu yako upime Malaria
 
Back
Top Bottom