Hakika nimeelewa kwa Nini Maraisi waliotangulia waliiweka TAMISEM katika ofisi ya Waziri Mkuu

Chendembe

JF-Expert Member
Oct 20, 2019
416
462
Hakika nimekuwa najiuliza maranyingi kuhusu Nani Waziri Mkuu katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nimekuwa nafuatilia shughuli mahususi wanazozifanya mawaziri wakuu katika pande zote mbili zilizoungana na kubaini kuwa wanawajibika zaidi katika kusimamia shughuli za serikali bungene na wanajibika kwa kiasi kidogo saaana katika Upande wa Zanzibar. Naona Kama kunamipaka ya utendaji wa Waziri Mkuu upande huo nakupelekea kunitafakarisha na kupata majibu ya kwanini Maraisi waliotangulia waliona busara ya kuiweka wizara ya TAMISEMI chini ya Waziri Mkuu kwa kuwa anawajibika zaidi Bara na kukwepa mkanganyiko wa endapo Raisi atatokea Zanzibar Nani atasimamia Tanganyika.
Busara yangu inanituma kwamba TAMISEMI ndio Tanganyika.
Naomba mchango wenu katika ili nami nipate uelewa.
Nimaoni yangu tuu wanabodi.
 
ila Mpango TISS wamshauri apunguze mdomo kuhusu Muungano. Tz bara haijawahi kuwa na Rais wa Zanz. Akienda pupa awamu hii ata tuuza. Nyerere alikuwa na jambo lake ktk Muungano. Naona yy ana vamia tuuuu. TISS na CCM. Plz Tanganyika yetu.
 
Back
Top Bottom