The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,289
- 16,973
Hakuu habari ya usiku. Hii habari nisipowapa leo hakuna mwingine atakaekuja kuwapa😂.
Mimi ni certified player, mwenye platnum membership card kwenye jumuia, ila mwaka jana nikadhamiria kua mojawapo ya mambo nitakayoyafanya mwaka 2019 ni kuoa na kua na mke, kua na mtoto angalau niitwe baba, niwe na mtoto rasmi, nimetupa watoto vyooni muda mrefu, nikasema sasa inatosha.
Hivyo nikapanga mwaka 2019 naoa rasmi na nikapanga kua sitaoa nje ya circle yangu, sina sababu ya kutafta mwanamke mpya maana ninao wengi na warembo na isitoshe wanawake ni wale wale, nikapanga kuchomoa mmoja ambae nimeshaanza kudevelop some feelings dhidi yake tuwekane mdani rasmi tuwe na familia.
Sasa kuelekea mwishoni mwa mwaka jana kuna katoto kamoja ka mzee mmoja hivi mwenye cheo ndani ya chombo kimoja cha usalama akaamua kunitunuku utamu bila kinyongo nikapokea hiyo zawadi kwa mikono miwili, ebwanaeeee, mtoto ana balaa, mtoto kavuruga mifumo yangu yote ya faham, ananipa vitu adimu na amaizing balaa, atakuja kuniua huyu mtoto hakiyamungu kwa utamu anaonipa. Jamani kuna watu wanajua haya mambo, unaweza kudhani umemaliza haya mambo siku unakutana na mtu ndio unajua kweli haya mambo hayaishi.
Huyu dogo amenivuruga balaa ingawa sina interest nae zozote ila sio siri huyu dogo almanusura abadili msimamo wangu kwa huyo dogo nilie na interest nae. Hakika mwanamke mpya anaweza kuvuruga mipango yako ya ndoa
Mimi ni certified player, mwenye platnum membership card kwenye jumuia, ila mwaka jana nikadhamiria kua mojawapo ya mambo nitakayoyafanya mwaka 2019 ni kuoa na kua na mke, kua na mtoto angalau niitwe baba, niwe na mtoto rasmi, nimetupa watoto vyooni muda mrefu, nikasema sasa inatosha.
Hivyo nikapanga mwaka 2019 naoa rasmi na nikapanga kua sitaoa nje ya circle yangu, sina sababu ya kutafta mwanamke mpya maana ninao wengi na warembo na isitoshe wanawake ni wale wale, nikapanga kuchomoa mmoja ambae nimeshaanza kudevelop some feelings dhidi yake tuwekane mdani rasmi tuwe na familia.
Sasa kuelekea mwishoni mwa mwaka jana kuna katoto kamoja ka mzee mmoja hivi mwenye cheo ndani ya chombo kimoja cha usalama akaamua kunitunuku utamu bila kinyongo nikapokea hiyo zawadi kwa mikono miwili, ebwanaeeee, mtoto ana balaa, mtoto kavuruga mifumo yangu yote ya faham, ananipa vitu adimu na amaizing balaa, atakuja kuniua huyu mtoto hakiyamungu kwa utamu anaonipa. Jamani kuna watu wanajua haya mambo, unaweza kudhani umemaliza haya mambo siku unakutana na mtu ndio unajua kweli haya mambo hayaishi.
Huyu dogo amenivuruga balaa ingawa sina interest nae zozote ila sio siri huyu dogo almanusura abadili msimamo wangu kwa huyo dogo nilie na interest nae. Hakika mwanamke mpya anaweza kuvuruga mipango yako ya ndoa