Hakika mwanamziki wa Uganda Bobi Wine amekomaa Kisiasa, alichofanya Jamaica ni cha kupigiwa mfano

kadoda11

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
21,453
20,712
Siku chache zilizopita mwanamziki, mwanaharakati na mwanasiasa wa nchini uganda bobi wine alikuwa nchini jamaica kwa ziara ya kimuziki aliyoalikwa na mwanamuziki nguli wa mziki wa reggae duniani Tony Rebel.

Licha ya kuzuru Jamaica kwa ziara ya kimuziki, bobi ametumia ziara hiyo kufanya jambo ambalo ni nadra sana kwa wanamuziki wetu wa Tanzania.

Ameitumia ziara hiyo kukutana na watu mbalimbali wenye ushawishi mkubwa kwa jamii ya wajamaica.

Amekutana na waziri mkuu wa jamaica Endrew Michael Holness na kujadiliana naye masuala mbalimbali ya maendeleo, siasa na jamii ambapo waliangazia zaidi vijana na namna wanavyoweza kutumia mziki kuwatoa katika umasikini na wanavyoweza kutumia mziki huo kufikisha ujumbe wa kuikosoa serikali kwa uhuru bila kubugudhiwa na mamlaka.

Pia amekutana na mwanamziki na mwanaharakati wa masuala mbalimbali kijamii Buju Banton ambaye ametoka kifungoni hivi karibuni baada kutumikia jela tangu mwaka 2011.

Pia amekutana na kufanya mazungumzo very positive na Mwanamziki mwingine maarufu wa Jamaica Capleton ambaye nyimbo zake zimejikita zaidi katika kupinga/kukosoa mifumo mbalimbali kandamizi ya kidunia.

hili ni somo kubwa sana kwa Wanamziki wa kitanzania hususani wale wanaopata fursa ya kusafiri nchi mbalimbali katika kazi zao za mziki.

Sijawahi kuona mwanamziki yoyote mkubwa wa kitanzania akifanya mazungumzo na kiongozi yoyote mkubwa wa nchi husika aliyoitembelea.

Sijawahi kuona mwanamziki yoyote mkubwa wa kitanzania akifanya mazungumzo na mfanyabiashara yoyote mkubwa wa nchi husika aliyotembelea ili kuvutia uwekezaji nchini au kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo Tanzania.

Sijawahi kuona mwanamziki yoyote mkubwa wa kitanzania akiwa katika mazungumzo chanya na Wanasiasa wakubwa wenye ushawishi kwa jamii katika nchi husika aliyotembelea.

Wanamziki wetu wengi wanapomaliza kutumbuiza huko ugenini/ughaibuni, hurudi hotelini kwenda kulala na siku ya pili yake hutembelea maeneo mbalimbali ya Malls au Majengo makubwa kupiga picha na baadaye kupost Instagram.

Yafaa waige mfano wa bobi wine.
sio kwamba alikuwa hana uwezo wa kutembelea maeneo mbalimbali ya kula bata nchini jamaica na ku upload picha instagram, la hasha,uwezo huo anao.
lakini aliamua kufanya jambo lenye faida zaidi kwa jamii.

NB:
Kwa wale ambao hawamfamu mwanamziki Bobi Wine, warejee matukio mbalimbali makubwa ya kisiasa yaliyotokea mwaka jana(2018) nchini Uganda.
Screenshot_2019-01-25-20-21-47-129_com.instagram.android.jpeg
IMG_20190125_201827.jpeg
IMG_20190125_201854.jpeg
IMG_20190125_201556.jpeg
IMG_20190125_201650.jpeg
 
Siku chache zilizopita mwanamziki, mwanaharakati na mwanasiasa wa nchini uganda bobi wine alikuwa nchini jamaica kwa ziara ya kumuziki aliyoalikwa na mwanamuziki nguli wa mziki wa reggae duniani Tony Rebel.

Licha ya kuzuru Jamaica kwa ziara ya kimuziki, bobi ametumia ziara hiyo kufanya jambo ambalo ni nadra sana wanamuziki wetu wa Tanzania.

Ameitumia ziara hiyo kukutana na watu mbalimbali wenye ushawishi mkubwa kwa jamii ya wajamaica.

Amekutana na waziri mkuu wa jamaica Endrew Michael Holiness na kujadiliana naye masuala mbalimbali ya maendeleo, siasa na jamii ambapo waliangazia zaidi vijana na namna wanavyoweza kutumia mziki kuwatoa katika umasikini na wanavyoweza kutumia mziki huo kufikisha ujumbe wa kuikosoa serikali kwa uhuru bila kubugudhiwa na mamlaka.

Pia amekutana na mwanamziki na mwanaharakati wa masuala mbalimbali kijamii Buju Bonton ambaye ametoka kifungoni hivi karibuni baada kutumikia jela tangu mwaka 2011.

Pia amekutana na kufanya mazungumzo very positive na Mwanamziki mwingine maarufu wa Jamaica Capleton ambaye nyimbo zake zimejikita zaidi katika kupinga/kukosoa mifumo mbalimbali kandamizi ya kidunia.

hili ni somo kubwa sana kwa Wanamziki wa kitanzania hususani wale wanaopata fursa ya kusafiri nchi mbalimbali katika kazi zao za mziki.

Sijawahi kuona mwanamziki yoyote mkubwa wa kitanzania akifanya mazungumzo na kiongozi yoyote mkubwa wa nchi husika aliyoitembelea.

Sijawahi kuona mwanamziki yoyote mkubwa wa kitanzania akifanya mazungumzo na mfanyabiashara yoyote wakubwa wa nchi husika aliyotembelea ili kuvutia uwekezaji nchini au kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii nchini.

Sijawahi kuona mwanamziki yoyote mkubwa wa kitanzania akiwa katika mazungumzo chanya na Wanasiasa wakubwa wenye ushawishi kwa jamii katika nchi husika aliyotembelea.

Wanamziki wetu wengi wanapomaliza kutumbuiza huko ugenini/ughaibuni, hurudi hotelini kwenda kulala na siku ya pili yake hutembelea maeneo mbalimbali ya Malls au Majengo makubwa kupiga picha na baadaye kupost instagram.

Yafaa waige mfano wa bobi wine.
sio kwamba alikuwa hana uwezo wa kutembelea maeneo mbalimbali ya kula bata nchini jamaica na ku upload picha instagram, la hasha,uwezo huo anao.
lakini aliamua kufanya jambo lenye faida zaidi kwa jamii.

NB:
kwa wale ambao hawamfamu mwanamziki bobi wine, warejee matukio mbalimbali makubwa ya kisiasa yalitokea mwaka jana(2018) nchini uganda.
View attachment 1004899View attachment 1004900View attachment 1004901View attachment 1004902View attachment 1004903
Jamaa ni Future ya Uganda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa nafurahi sana Bobby Wine anavyomyima usingizi Museveni,,

Kweli kila jambo na wakati wake yule mzee ampishe tu RK
 
Hata sielewi beilla nn sijui. Ila kitu mtu na focus yake asione hawatafuti ni vile wanatofautiana tu bob anachembe chembe za siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
ila bobi wine yupo hatua mia moja mbele, anayoyofanya yanamahusiano ya moja kwa moja na jamii kubwa.

wanachafanya akina diamond na ali kiba kina gusa mtu mmoja mmoja kwasababu ni business oriented issues.

diamond karanga, diamond perfume, kilevi cha belaire na energy drink ya mo fire ni vya kawaida sana ambavyo haviwezi ku influence jamii kubwa ya watanzania.
 
ila bobi wine yupo hatua mia moja mbele, anayoyofanya yanamahusiano ya moja kwa moja na jamii na kubwa.

wanachafanya akina diamond na ali kiba kina gusa mtu mmoja mmoja kwasababu ni business oriented issues.

diamond karanga, diamond perfume, kilevi cha belaire na energy drink ya mo fire ni vya kawaida sana ambavyo haviwezi ku influence jamii kubwa ya watanzania.
Yeah ni kweli ila aliyopitia bob alimanusula kufa ndicho kimemfikisha hapo mzee baba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa nafurahi sana Bobby Wine anavyomyima usingizi Museveni,,

Kweli kila jambo na wakati wake yule mzee ampishe tu RK
babu mseveni,anamuheshimu jamaa japo kisirisiri,maana anajua uwezo wake wa ushawishi kwa vijana
 
B
bobi wine anakoelekea siku si nyingi atakuwa "tundu lissu" wa uganda.
Bobwine kwa siasa za uganda na uwelewa wa raia wa uganda!! Huwezi mlinganisha na Tundu Lisu!! Bob wine mtu huru srategic pia ni maarufu kitambo kupitia shghuli zake na miradi yake inayogusa jamii!! Pia usisahau Bobi ni tajiri si kitotooo!!!
 
B

Bobwine kwa siasa za uganda na uwelewa wa raia wa uganda!! Huwezi mlinganisha na Tundu Lisu!! Bob wine mtu huru srategic pia ni maarufu kitambo kupitia shghuli zake na miradi yake inayogusa jamii!! Pia usisahau Bobi ni tajiri si kitotooo!!!
Kama nimemwelewa vizuri kadoda11, anamaanisha Bobi wine huko anakoelekea anaweza kuchapwa punje kama alivyofanywa Lisu.
 
B

Bobwine kwa siasa za uganda na uwelewa wa raia wa uganda!! Huwezi mlinganisha na Tundu Lisu!! Bob wine mtu huru srategic pia ni maarufu kitambo kupitia shghuli zake na miradi yake inayogusa jamii!! Pia usisahau Bobi ni tajiri si kitotooo!!!
nadhani hukunielewa....hata hivyo asante kwa comment yako. karibu tena.
 
Back
Top Bottom