Hakika msimamo huu ndo umenifanya nifanikiwe na kufikia stage nliyopo kimaisha..

scientificall

JF-Expert Member
Jun 4, 2015
453
314
Nlipokua naanza mapambano yangu ya mafanikio kielimu na kimaisha fomula hii nliitumia. emu na ww jaribu.

"Hata siku moja usitegemee sapport kutoka kwa mtu unaefanana, ama mwenye malengo kama yako, hawaze kusifia chakoo,kama anakutizama kama tishio, hivyo usijihisi vibaya,,!! unapokuwa hupongezi, ukawa unadhani kwamba huonekani. hapanaa.. wanakuona, wanatambua" unachofanyaa.

Ila wataendelea kuwa kimya kwa sababu ulichonacho wakikitoa kwa watu,kuna uwezakano wa cha kwao kuonekana cha kawaida ama kutooneka kabisa.
 
Nlipokua naanza mapambano yangu ya mafanikio kielimu na kimaisha fomula hii nliitumia. emu na ww jaribu.

"Hata siku moja usitegemee sapport kutoka kwa mtu unaefanana, ama mwenye malengo kama yako, hawaze kusifia chakoo,kama anakutizama kama tishio, hivyo usijihisi vibaya,,!! unapokuwa hupongezi, ukawa unadhani kwamba huonekani. hapanaa.. wanakuona, wanatambua" unachofanyaa.

Ila wataendelea kuwa kimya kwa sababu ulichonacho wakikitoa kwa watu,kuna uwezakano wa cha kwao kuonekana cha kawaida ama kutooneka kabisa.
Ujumbe mzuri sana ila umeshindwa kuuwasilisha ipasavyo
 
Maisha hayana fomula unaweza pita kushoto mwingine kulia lakini mkafika kwa pamoja na mtu aliye pita katikati,Ishi vile unaweza.
 
Maisha hayana fomula kabisa ukiweka ukiweka 3 yenyewe yanakupa negative yaache yakupeleka km tanga baharini shenzi type
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom