scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 453
- 314
Nlipokua naanza mapambano yangu ya mafanikio kielimu na kimaisha fomula hii nliitumia. emu na ww jaribu.
"Hata siku moja usitegemee sapport kutoka kwa mtu unaefanana, ama mwenye malengo kama yako, hawaze kusifia chakoo,kama anakutizama kama tishio, hivyo usijihisi vibaya,,!! unapokuwa hupongezi, ukawa unadhani kwamba huonekani. hapanaa.. wanakuona, wanatambua" unachofanyaa.
Ila wataendelea kuwa kimya kwa sababu ulichonacho wakikitoa kwa watu,kuna uwezakano wa cha kwao kuonekana cha kawaida ama kutooneka kabisa.
"Hata siku moja usitegemee sapport kutoka kwa mtu unaefanana, ama mwenye malengo kama yako, hawaze kusifia chakoo,kama anakutizama kama tishio, hivyo usijihisi vibaya,,!! unapokuwa hupongezi, ukawa unadhani kwamba huonekani. hapanaa.. wanakuona, wanatambua" unachofanyaa.
Ila wataendelea kuwa kimya kwa sababu ulichonacho wakikitoa kwa watu,kuna uwezakano wa cha kwao kuonekana cha kawaida ama kutooneka kabisa.