Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Atapata si chini ya kifungo cha miaka mi 3 mpaka mi 5 au kulipa faini.

Atalipa faini ambayo haitazidi hata milion 6 then ataachiwa.. kuzuga atakamatwa tena kwa ajili ya mashtaka mapya.

hii case ni ya mkakati.
ni heri ufuatilie ugali wako..

Hukumu yake naifahamu.
Rudia kauli tena
 
Malipo ni hapa hapa duniani hii nii funzo kubwa mno kwa wale wote wanaopewa vyeo na kutumia madaraka yao vibaya kutesa raia.
Mwambieni na hicho kibibi chenu kuwa kisijione kimwamba muda upo kitakimbilia kwao Oman mnfssss!
 
Atapata si chini ya kifungo cha miaka mi 3 mpaka mi 5 au kulipa faini.

Atalipa faini ambayo haitazidi hata milion 6 then ataachiwa.. kuzuga atakamatwa tena kwa ajili ya mashtaka mapya.

hii case ni ya mkakati.
ni heri ufuatilie ugali wako..

Hukumu yake naifahamu.
Vip hukumu ishatoka au bado mkuu
 
Atapata si chini ya kifungo cha miaka mi 3 mpaka mi 5 au kulipa faini.

Atalipa faini ambayo haitazidi hata milion 6 then ataachiwa.. kuzuga atakamatwa tena kwa ajili ya mashtaka mapya.

hii case ni ya mkakati.
ni heri ufuatilie ugali wako..

Hukumu yake naifahamu.

Na hii nyingine anakula tena miaka 30 iwe fundisho kwako uache kuwa chawa wa wahalifu
 
Back
Top Bottom