Upo sahihi sana maana hata masheitwani wanatofautiana kwa roho mbaya.Haha, JK bana dah
Ana mambo mambo yake na ujanja wa mjini lkn katu mimi huwa sithubutu kumtusi, he is such a jovial statesman!
Namheshimu; heri huyu kuliko lile shetani la kihutu
Kawaida ya tapeli kamwe hawezi kufunga njia za walala hoi kujipatia kipato.Wahamiaji haramu wametoka wamerudi matapeli wa mjini, bado sioni nafuu kwa mtanzania wa kawaida hapo, ni kubadilisha matatizo tu.
😃😃😃😃😃😃😃Wahamiaji haramu wametoka wamerudi matapeli wa mjini, bado sioni nafuu kwa mtanzania wa kawaida hapo, ni kubadilisha matatizo tu.
mwaka huu lazima aliwe matakoCrimea alipo huko Mwanza atakuwa analia tu maana suku ma gang leo wamepigwa na kitu chenye ncha kali
Atataka uwe na pesa ya yeye kukutapeli siyo? Watu wachangamke malalamiko hayasaidii.Kawaida ya tapeli kamwe hawezi kufunga njia za walala hoi kujipatia kipato.
Huu ndio muda wa kupiga kazi na kujipatia kipato maana sheitwani alizipa mianya yote.