Hakika hili linasikitisha,kumsingizia ,kusakama mtu bila haya

lendomza

JF-Expert Member
Jun 11, 2016
396
228
Niseme kwamba tangu siasa imeanza kushamili nchini kumekuwepo na tabia za ajabu sana za kusingizia mtu kwamba kafanya hili na lile,ana tabia hizi na zile kwa malengo ya kisiasa kana kwamba siasa ni kitu kichafu sana ambacho ili upate unachotaka sharti uzushe mambo pasipo haya ..!hii ni hatari sana kwa usalama wa taifa changa linaloendeshwa kidemokrasia.lakini je demokrasia inasema katika uhuru wa kutoa mawazo lazima umzushie maovu mpinzani wako?kwamba ili upate madalaka lazima uzushe uongo?

Nimeona nitoe ya moyoni maana yamenikereketa vibaya sana baada ya tukio la majuzi police kuuawa pale jjini dar es salaam!! yako makundi ya watu wametoa maoni tofauti lakini la kusikitisha hasa ni hili la kumzushia mh waziri wa mambo ya ndani eti anahusika na mauaji yale!!!! hoja zao mfu eti kwa nini afike wakwanza katika eneo la tukio,eti kwa nini alikuwa amevalia sale za jeshi la police,eti alifika wa kwanza kuona alichokuwa amekipanga kimefanikiwa!!! hakika watu hawa sijui tuwaiteje ? kwa nini wanasema eti serikali hii inakurupuka ilihali wao ni wakurupukaji hatari sana kuhatarisha usalama wa nchi yetu??lakini sishangai kwa sababu wamekuwa na tabia hii ya kusingizia watu ili waonekane ni watetezi wa wanyonge lakini huku moyoni ni chui!! mfano ni kipindi kile kwanzia 2008 walimsakama wazili mkuu na kumsingizia ( yawezekana ni kweli ) kuwa ni fisadi na ushaidi wanao ,lakini walikuja tena kusema kuwa si fisadi baada ya kuona ameangushwa wakaona wamuoshe matope waliomtupia !!
Watu hawa wanaosema kwa nini waziri wa mambo ya ndani alifika wa kwanza katika eneo la tukio ni hao hao kama asingefika mapema au asifike kabisa wangetafuta maneno ya kusema kmf huyu waziri mzembe kwa nini hakutokea eneo la tukio,hana huruma huyu kwa nini amelala usingizi wakati wengine wanaangaika??

Unapokurupuka kusema maneno ambayo huna uhakika katika kipindi hiki ambacho kuna kutokuelewana kati ya jeshi la police na upinzani huoni kuwa unahatarisha amani ya nchi? kuna haja gani ya kukuimbilia media eti waziri wa mambo ya ndani anahusika na jambo hili ?? una ushahidi gani? hii ni hatari sana kwamba hata busara hazitumiki .kabla ya kumhusisha waziri mwenye dhamana ilitakiwa kwanza kumpa pole na yaliyotokea na kumpa pongezi kuwahi kufika eneo la tukio ,baadaye ndipo mlitakiwa kusema lakini mheshimiwa tuna mashaka haya na yale!!!!

I have doubts about you guys!!!!


uu
 
Be the first to reply

Mkuu kitendo cha kuuliwa wale askari binafsi kimeniuma sana.. Hebu fikiria mtu kwa mfano kampigia simu mkewe dakika tano zilizopita kuwa anafunga kazi arudi home ,then dakika 10 mbele unaambiwa kafariki.. Binafsi imeniuma sana.nimefikiria kama ndo ningekuwa mimi mke wangu na ndugu zangu wangekua katika hali gani

Sasa watu wanachomjadili mkuu ni kuhusu kuvaa gwanda ,je hizo mambo za gwanda zinamuhusu ?
Na kukurupuka hakupingiki msimu huu ni ukurupukaji tu.. Ukiongozwa na nanilnhi na makon** kam Ni mfuatiliaji wa kauli za viongozi bila kiweka itikadi za uchama utalijua hilo

BTW hilo suala la waziri kuhusika na mauaji bado sijaliafiki .sidhan kama amehusika kwa namna moja au nyingine.. Majambazi ni watu wa kutake advantage, tukio hili lisihusishwe na WAZIRI wala UKUTA..ni tukio kama matukio mengine kama kule amboni tanga, kituo cha polisi sitakishari..

Ndio yangu ya moyoni hayo.. Tukutane sept 1
 
Nchi inaongozwa na SIASA kuanzia ELIMU,MAENDELEO,MICHEZO,KILIMO,SHERIA,n nk na maana ya neno siasa si unalijua SI HASA=KITU AMBACHO HAKIELEWEKI ,HAKUJAKAMILIKA
 
Niseme kwamba tangu siasa imeanza kushamili nchini kumekuwepo na tabia za ajabu sana za kusingizia mtu kwamba kafanya hili na lile,ana tabia hizi na zile kwa malengo ya kisiasa kana kwamba siasa ni kitu kichafu sana ambacho ili upate unachotaka sharti uzushe mambo pasipo haya ..!hii ni hatari sana kwa usalama wa taifa changa linaloendeshwa kidemokrasia.lakini je demokrasia inasema katika uhuru wa kutoa mawazo lazima umzushie maovu mpinzani wako?kwamba ili upate madalaka lazima uzushe uongo?

Nimeona nitoe ya moyoni maana yamenikereketa vibaya sana baada ya tukio la majuzi police kuuawa pale jjini dar es salaam!! yako makundi ya watu wametoa maoni tofauti lakini la kusikitisha hasa ni hili la kumzushia mh waziri wa mambo ya ndani eti anahusika na mauaji yale!!!! hoja zao mfu eti kwa nini afike wakwanza katika eneo la tukio,eti kwa nini alikuwa amevalia sale za jeshi la police,eti alifika wa kwanza kuona alichokuwa amekipanga kimefanikiwa!!! hakika watu hawa sijui tuwaiteje ? kwa nini wanasema eti serikali hii inakurupuka ilihali wao ni wakurupukaji hatari sana kuhatarisha usalama wa nchi yetu??lakini sishangai kwa sababu wamekuwa na tabia hii ya kusingizia watu ili waonekane ni watetezi wa wanyonge lakini huku moyoni ni chui!! mfano ni kipindi kile kwanzia 2008 walimsakama wazili mkuu na kumsingizia ( yawezekana ni kweli ) kuwa ni fisadi na ushaidi wanao ,lakini walikuja tena kusema kuwa si fisadi baada ya kuona ameangushwa wakaona wamuoshe matope waliomtupia !!
Watu hawa wanaosema kwa nini waziri wa mambo ya ndani alifika wa kwanza katika eneo la tukio ni hao hao kama asingefika mapema au asifike kabisa wangetafuta maneno ya kusema kmf huyu waziri mzembe kwa nini hakutokea eneo la tukio,hana huruma huyu kwa nini amelala usingizi wakati wengine wanaangaika??

Unapokurupuka kusema maneno ambayo huna uhakika katika kipindi hiki ambacho kuna kutokuelewana kati ya jeshi la police na upinzani huoni kuwa unahatarisha amani ya nchi? kuna haja gani ya kukuimbilia media eti waziri wa mambo ya ndani anahusika na jambo hili ?? una ushahidi gani? hii ni hatari sana kwamba hata busara hazitumiki .kabla ya kumhusisha waziri mwenye dhamana ilitakiwa kwanza kumpa pole na yaliyotokea na kumpa pongezi kuwahi kufika eneo la tukio ,baadaye ndipo mlitakiwa kusema lakini mheshimiwa tuna mashaka haya na yale!!!!

I have doubts about you guys!!!!


uu
Yaani kama watu wa kuwaogopa kama UKOMA ni hawa wapinzani ni hodari saan kupindisha ukweli kwa maslahi yao na wananchi esp. zamani kwa uelewa wao mdogo waliwaamini. Na Mungu ni mkubwa sana kwa uroho wao wa madaraka wakamchukua Lowassa ambaye wao wenyewe ndio waliosema ni fisadi. Tangu hapo ndipo nyeusi imekuwq nyeusi na nyeupe ni nyeupe. Hivyon waTzanania inatubidi kuwa makini saana na watu wa aina hii. hata siku moja hawana jema . Mbaya zaidi wana uwezo wa kugeuza kitu kizuri wakataka kukifanya kuwa kibaya. nadhani wengi tunafahamu ile story ya Mtu alikuwa amashika ndege mzima mkononi anamuuliza mtu hebu otea huyu ndege niliye nae mzima au amekufa. hakika nakuambia jibu lolote utakalolitoa utakuwa umekosea. Kwwani ukusema mzima yeye atamminya na kumuua na ukisema amekufa basi atakuonyesha akiwa hai. Hii ndio Typical Wapinzani ( tena hasa CHADEMA wakumburuza na Mbatia) so sad. Watanzania tunahitaji sana Upinzani lakini si Upinzani wa ULAGHAI BIG NO! Mumuache Mh. Mwigulu afanye kazi yake!
 
Be the first to reply

Mkuu kitendo cha kuuliwa wale askari binafsi kimeniuma sana.. Hebu fikiria mtu kwa mfano kampigia simu mkewe dakika tano zilizopita kuwa anafunga kazi arudi home ,then dakika 10 mbele unaambiwa kafariki.. Binafsi imeniuma sana.nimefikiria kama ndo ningekuwa mimi mke wangu na ndugu zangu wangekua katika hali gani

Sasa watu wanachomjadili mkuu ni kuhusu kuvaa gwanda ,je hizo mambo za gwanda zinamuhusu ?
Na kukurupuka hakupingiki msimu huu ni ukurupukaji tu.. Ukiongozwa na nanilnhi na makon** kam Ni mfuatiliaji wa kauli za viongozi bila kiweka itikadi za uchama utalijua hilo

BTW hilo suala la waziri kuhusika na mauaji bado sijaliafiki .sidhan kama amehusika kwa namna moja au nyingine.. Majambazi ni watu wa kutake advantage, tukio hili lisihusishwe na WAZIRI wala UKUTA..ni tukio kama matukio mengine kama kule amboni tanga, kituo cha polisi sitakishari..

Ndio yangu ya moyoni hayo.. Tukutane sept 1
kwani kuvaa Gwanda kuna husika vipi, mbona mnazungumzia mambo ambayo ni nonsense ukicompare na roho za wanadamu nne zimetoka?!?!?! Uhai wa binadamu wanne umetoka? Badala ya kuzungumzia speed aliyotumia kufika pale mnataka kufunika kwa hilo la kuvaa gwanda. Yaani eti watu wenye mentality ya namna hii ndio wangekuwa wanatawala nchii hii mungu wangu. Asanteni saaana Watanzania kwa kulitanmbua hili!
 
Be the first to reply

Mkuu kitendo cha kuuliwa wale askari binafsi kimeniuma sana.. Hebu fikiria mtu kwa mfano kampigia simu mkewe dakika tano zilizopita kuwa anafunga kazi arudi home ,then dakika 10 mbele unaambiwa kafariki.. Binafsi imeniuma sana.nimefikiria kama ndo ningekuwa mimi mke wangu na ndugu zangu wangekua katika hali gani

Sasa watu wanachomjadili mkuu ni kuhusu kuvaa gwanda ,je hizo mambo za gwanda zinamuhusu ?
Na kukurupuka hakupingiki msimu huu ni ukurupukaji tu.. Ukiongozwa na nanilnhi na makon** kam Ni mfuatiliaji wa kauli za viongozi bila kiweka itikadi za uchama utalijua hilo

BTW hilo suala la waziri kuhusika na mauaji bado sijaliafiki .sidhan kama amehusika kwa namna moja au nyingine.. Majambazi ni watu wa kutake advantage, tukio hili lisihusishwe na WAZIRI wala UKUTA..ni tukio kama matukio mengine kama kule amboni tanga, kituo cha polisi sitakishari..

Ndio yangu ya moyoni hayo.. Tukutane sept 1
kwani kuvaa Gwanda kuna husika vipi, mbona mnazungumzia mambo ambayo ni nonsense ukicompare na roho za wanadamu nne zimetoka?!?!?! Uhai wa binadamu wanne umetoka? Badala ya kuzungumzia speed aliyotumia kufika pale mnataka kufunika kwa hilo la kuvaa gwanda. Yaani eti watu wenye mentality ya namna hii ndio wangekuwa wanatawala nchii hii mungu wangu. Asanteni saaana Watanzania kwa kulitanmbua hili!
 
Yaan unaacha kuanza na msingi wa kuzushiana unaanza na mmaliziaji? Huku sio kubalance habari. Nilitegemea ukemee wote.
Aliye anza ni jeshi la police, wamehusisha tukio hili moja kwa moja na ukuta. CDM wanakanusha. Kwann usianze na police kuwazushia chadema? Kwa kisingizio hicho police wakaenda mbali zaidi kwamba CDM vikao vyao wanapanga uhalisi hivyo ni marufuku vikao vya ndani. Nani wa kuumia zaid?? Hata cdm wamekosea lakn aliyekosea zaid ni yule mchokozi. .

Tuwaase police wetu watenganishe siasa na utendaji wao itawajengea heshima kijamii ila kwa mwendo huu tutachafuana sana. Hakuna asiye na roho asiyeumia ukimuumiza kwa makusudi
 
Be the first to reply

Mkuu kitendo cha kuuliwa wale askari binafsi kimeniuma sana.. Hebu fikiria mtu kwa mfano kampigia simu mkewe dakika tano zilizopita kuwa anafunga kazi arudi home ,then dakika 10 mbele unaambiwa kafariki.. Binafsi imeniuma sana.nimefikiria kama ndo ningekuwa mimi mke wangu na ndugu zangu wangekua katika hali gani

Sasa watu wanachomjadili mkuu ni kuhusu kuvaa gwanda ,je hizo mambo za gwanda zinamuhusu ?
Na kukurupuka hakupingiki msimu huu ni ukurupukaji tu.. Ukiongozwa na nanilnhi na makon** kam Ni mfuatiliaji wa kauli za viongozi bila kiweka itikadi za uchama utalijua hilo

BTW hilo suala la waziri kuhusika na mauaji bado sijaliafiki .sidhan kama amehusika kwa namna moja au nyingine.. Majambazi ni watu wa kutake advantage, tukio hili lisihusishwe na WAZIRI wala UKUTA..ni tukio kama matukio mengine kama kule amboni tanga, kituo cha polisi sitakishari..

Ndio yangu ya moyoni hayo.. Tukutane sept 1
Inatakiwa kila mtu aelewe kwamba hizo speculations za huyo mtu kuhusika zimechochewa na yeye mwenyewe na jeshi la polisi. Wao ndio wameanza kujenga hoja ya kuhusisha matukio hayo na chadema, eti kwa kuwa tu majambazi hawakuingia benki kuchukua fedha! Huo ni ujinga wa wazi na ni uchochezi kwa upande wa jeshi la polisi na serikali. Na wameyasema hayo wakati ambao wanadai hata uchunguzi wa awali haujafanyika. Bila uchunguzi, wametoa wapi mtazamo huo? Huyu anayetetewa ndiye kaanza kusakama wapinzani tena mapema kabisa kabla ya uchunguzi, sasa kwa nini asihisiwe vibaya?
 
kwani kuvaa Gwanda kuna husika vipi, mbona mnazungumzia mambo ambayo ni nonsense ukicompare na roho za wanadamu nne zimetoka?!?!?! Uhai wa binadamu wanne umetoka? Badala ya kuzungumzia speed aliyotumia kufika pale mnataka kufunika kwa hilo la kuvaa gwanda. Yaani eti watu wenye mentality ya namna hii ndio wangekuwa wanatawala nchii hii mungu wangu. Asanteni saaana Watanzania kwa kulitanmbua hili!
watanzania hawakuhusika, ni CCM wenyewe na tume yao ya uchaguzi ndio walihusika.

Back on topic: Hoja za hilo gwanda na yeye kuwahi pale unaelewa mantiki yake ila tu umejiandaa kupingana nayo. Tuachie hapo.

Suala la kuzushiana kuhusika na tukio nani alilianzisha? kama kweli uko informed na una conscience, nina hakika unajua kwamba walioanza kuzushiwa ni chadema. Na wamezushiwa kuhusika kabla hata ya uchunguzi kufanyika. Kisa: eti majambazi hawakuingia benki. Au haulijui hili?
 
Yaan unaacha kuanza na msingi wa kuzushiana unaanza na mmaliziaji? Huku sio kubalance habari. Nilitegemea ukemee wote.
Aliye anza ni jeshi la police, wamehusisha tukio hili moja kwa moja na ukuta. CDM wanakanusha. Kwann usianze na police kuwazushia chadema? Kwa kisingizio hicho police wakaenda mbali zaidi kwamba CDM vikao vyao wanapanga uhalisi hivyo ni marufuku vikao vya ndani. Nani wa kuumia zaid?? Hata cdm wamekosea lakn aliyekosea zaid ni yule mchokozi. .

Tuwaase police wetu watenganishe siasa na utendaji wao itawajengea heshima kijamii ila kwa mwendo huu tutachafuana sana. Hakuna asiye na roho asiyeumia ukimuumiza kwa makusudi
Mambo hayo!
 
Wewe hujaona tatizo kuhusisha hilo jambo na Ukuta? Polisi walusems ukuta wanahusika bila ushahidi wowote! Hili hukulisikia?
 
watanzania hawakuhusika, ni CCM wenyewe na tume yao ya uchaguzi ndio walihusika.

Back on topic: Hoja za hilo gwanda na yeye kuwahi pale unaelewa mantiki yake ila tu umejiandaa kupingana nayo. Tuachie hapo.

Suala la kuzushiana kuhusika na tukio nani alilianzisha? kama kweli uko informed na una conscience, nina hakika unajua kwamba walioanza kuzushiwa ni chadema. Na wamezushiwa kuhusika kabla hata ya uchunguzi kufanyika. Kisa: eti majambazi hawakuingia benki. Au haulijui hili?
Ni watanzania bahati mbaya hata hujui kwa nini watanzania walibadilika ni baada ya kumchukua mtu ambaye wao wenyewe ndio waliotuamini sha ni fisadi. Sasa ndugu yangu ukitaka kujipambanua na unaemuona hafanyi vizuri hurudii kosa alilolifanya. Sasa ngoja nikueleze , baada ya CCM ( sijui ni kupitia kwa nani sijui walitoa tamko hilo silijui) kusema kuwa CHADEMA wamehusika wangekuwa waungwana wangesema hivi " Tunapinga kwa nguvu zote kwa CHADEMA kuhusika na hayo mauaji an tunaamini polisi watafananya uchunguzi wa kina na haki ili muuaji apatikane'. Sasa eti kama watoto kwa kuwa mimi kanisingizia na mimi namsingizia. Jamani kama kila siku mnasema nia ya chama chochote cha siasa ni kushika dola sasa kwa mambo mnayoyafanya hiyo ni ndoto ya alinacha!
 
Lissu ana akili sana. Sasa nimeanza kuamini kweli yule Mheshimiwa ndiye amefanya yale mauaji. Mbona wapambe wanaanza kuja hapa na kuanza kumtetea? Kama wewe mleta mada umekerwa na mtazamo wa Tundu Lissu, mwambie huyo mumeo (muuaji) aende mahakamani.
 
kwa nini mpaka sasa lisu hajakamatwa kwa uchochezi, maana wao chadema ndiyo walipanga na kutekeleza ili wapate unifomu na silaha na risasi
 
Huyo unayesema kazushiwa ule ushaidi wake wa magaidi ameshaupeleka Mbinguni ?

Hiyo ndio hukumu ya Karma huwa abagui ,anakupa kwa size ya ulichotoa
 
Ni watanzania bahati mbaya hata hujui kwa nini watanzania walibadilika ni baada ya kumchukua mtu ambaye wao wenyewe ndio waliotuamini sha ni fisadi. Sasa ndugu yangu ukitaka kujipambanua na unaemuona hafanyi vizuri hurudii kosa alilolifanya. Sasa ngoja nikueleze , baada ya CCM ( sijui ni kupitia kwa nani sijui walitoa tamko hilo silijui) kusema kuwa CHADEMA wamehusika wangekuwa waungwana wangesema hivi " Tunapinga kwa nguvu zote kwa CHADEMA kuhusika na hayo mauaji an tunaamini polisi watafananya uchunguzi wa kina na haki ili muuaji apatikane'. Sasa eti kama watoto kwa kuwa mimi kanisingizia na mimi namsingizia. Jamani kama kila siku mnasema nia ya chama chochote cha siasa ni kushika dola sasa kwa mambo mnayoyafanya hiyo ni ndoto ya alinacha!
Hizi zote ni dhana tu, maana sijasikia mahali kiongozi wa chadema ameyasema hayo uliyoyasema. Labda ni mambo ya kujishuku tu. Watu wanauliza maswali wewe unakosa majibu unaamua kurukia kwenye inference.
 
Duuuu!!kweli dunia tambala bovu,mimi sijui nilikuwa wapi,kumbe mzigo umeshamgeukia mweshimwa tayariii!!!
 
Hizi zote ni dhana tu, maana sijasikia mahali kiongozi wa chadema ameyasema hayo uliyoyasema. Labda ni mambo ya kujishuku tu. Watu wanauliza maswali wewe unakosa majibu unaamua kurukia kwenye inference.
natunmaini jibu umelielewa vizuri sana na sina zaidi ya hayo.
 
Back
Top Bottom