Haki za raia na wajibu wa vyombo vya dola

Omukuru

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
242
39
Ningependa kuwauliza wanasheria, raia anapokamatwa na askari pasipo kufuata taratibu za kisheria, mfano kupigwa, kuhojiwa na kupekuliwa kabla ya kufunguliwa mashitaka, na baadaye ikagundulika kwamba raia hakuwa na hatia ya kusumbuliwa hivyo, askari aliyehusika na usumbufu huu anachukuliwa hatua gani?
 
mtuhumiwa akikamatwa kitaratibu lazima ahojiwe na kupekuliwa na kama ushahidi upo ashitakiwe mahakamani, kama kesi imepelelezwa na kuonekana hakuna ushahidi anaweza kuachiwa pale pale polisi, akigoma kukamatwa polisi watatumia nguvu ya kadri kuwezesha kukamatwa kwake na anapofanya hivyo anafanyakazi kwa mujibu wa sheria, pindi akipelekwa mahakamani ushahidi ukakosa akaachiwa huru askari polisi hawezi kushitakiwa kwa sababu amefanya kwa mujibu wa sheria ila akikiuka taratibu/sheria anaweza kushitakiwa !
 
mtuhumiwa akikamatwa kitaratibu lazima ahojiwe na kupekuliwa na kama ushahidi upo ashitakiwe mahakamani, kama kesi imepelelezwa na kuonekana hakuna ushahidi anaweza kuachiwa pale pale polisi, akigoma kukamatwa polisi watatumia nguvu ya kadri kuwezesha kukamatwa kwake na anapofanya hivyo anafanyakazi kwa mujibu wa sheria, pindi akipelekwa mahakamani ushahidi ukakosa akaachiwa huru askari polisi hawezi kushitakiwa kwa sababu amefanya kwa mujibu wa sheria ila akikiuka taratibu/sheria anaweza kushitakiwa !

Mean polisi wengi...wanafanya makosa makusudi mtaani hata kukujeruhi kwa kuuliza swali la msingi kama haki ya raia inavyo ruhusu...akijua wazi kabisa..hatakama huna hatia uko mbele yeye hawezi wajibiswa...this is where..mapolisi wanakosa maadili....wasi wangu...kwa kuwa sijui hawajifunzi haki za raia au wanazijua na kuupuzia...au kwa ajiri ya uelewa mdogo....yaani polisi anafanya makusudi hataki kukupa nafasi ya kumweleza..
 
Back
Top Bottom