Omukuru
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 242
- 39
Ningependa kuwauliza wanasheria, raia anapokamatwa na askari pasipo kufuata taratibu za kisheria, mfano kupigwa, kuhojiwa na kupekuliwa kabla ya kufunguliwa mashitaka, na baadaye ikagundulika kwamba raia hakuwa na hatia ya kusumbuliwa hivyo, askari aliyehusika na usumbufu huu anachukuliwa hatua gani?