future lawyer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 404
- 388
Mkuu njoo PM tujadili tufanye Nini kitaa haya ni magamba tu , tutafute pesaYani toka saa 5 mchana leo nimekomaa na TV naangalia LFCTV sijatoka nje kwa stress
Mkuu njoo PM tujadili tufanye Nini kitaa haya ni magamba tu , tutafute pesaYani toka saa 5 mchana leo nimekomaa na TV naangalia LFCTV sijatoka nje kwa stress
hongera kwa kuhitimu kidato cha 6, pamoja na kuwa umetaga! kasome diploma au rudia mtihani hakuna muda wa kujutaSi nilijiona Kipanga nikahisi A-Level nitateremka Kitonga tu! Kumbe O-Level nilibahatisha 😭
Usinicheke bhana we acha tu
hongera kwa kuhitimu kidato cha 6, pamoja na kuwa umetaga! kasome diploma au rudia mtihani hakuna muda wa kujuta
Nahisi kuna mtu umemwanzishia thread kwa niaba
Mkuu njoo PM tujadili tufanye Nini kitaa haya ni magamba tu , tutafute pesa
Hapana kaka siyo hivyo 😔Kaka unafurahia dharau 😭😭
Pelestina wangepiga bomu hiko kituo
Ijapokua nimefeli but unanipa ujasiri kidgo nikipita uzi huu kujua Kama vipanga wengi tumekatwa na wajumbeKuna Madogo flani wa O-Level nilikuwa nawapiga Tuition PHY na MATH wananiona Kipanga ile mbaya jinsi ninavyoyachana Macalculations, Yani sijui watanihisije nahisi kama wataniona nilikuwa nawalisha Matango Pori! Nimeshawatoka Nduki kuanzia leo siendi tena
Kwanza ni member since 2016 yaani kwamba toka yuko form three alikuwa member wa jf!Muda wote uko jukwaa la Liverpool special na kurandaranda kwenye thread ya Manchester united ulitegemea ufaulu Form VI tena PCM???
Pole sana dogo nitafute kuna kitu chamsingi nikwambie
Kwahyo wew ni bakhresa au diamond...soma bwa mdogo acha janja janjaAcha sifa! Walio na ONE kama wewe wameajiriwa na Diamond Platnumz aliyeishia la Saba B.
Walio na ONE wakasoma PhD zao marekani wameajiriwa na Bakhressa ambaye hata historia ya kusoma kwake haijuilikani
Ushinde jf kutwa halaf utake kufaulu...wenzenu kipind tunasoma tulikua tunasoma kwel.hata simu hatuzijui.hata wanawake hatuwajui...tulikua tunapiga masta tuu..nyie vijana wa sasa hiv mnataka kufaulu ilhal umnataka kwenda sambamba na dunia haitowezekanaNashindwa hata kusalimia Wajumbe!
Mwaka 2018 nikiwa nimetulia Naandalia Kideo ghafla napigiwa Simu na Classmate wangu ananiambia Mgodi umeshatema ingia Mtandaoni uangalie matoleo, Jinsi nilivyokuwa najiamini nilimjibu kuwa Mimi siingii Mtandaoni kuangalia Matokeo bali ninaingia kuconfirm Matokeo kwani Matokeo yangu ninayajua.
Baada ya kuingia Mtandaoni nilijikuta naangusha kicheko tu baada ya kujiona nimeigegeda One ya XIV O-Level nilijiona kweli mimi najua.
Nimeingia A-Level kwa mbwembwe kama zote nikijiona wazi kuwa ninakwenda kupiga Kijiti chengine.
Nilisoma sana usiku na mchana lakini cha ajabu leo naingia kwenye Mfumo kuangalia Matokeo yangu ya Kidato cha Sita nilichoona sikuweza kuamini! Yani nimezungusha kama sijawahi kusoma.
Mimi si wakupata Sifuri.
Kila nikikumbuka kujaza Fomu ya Mkopo kwa mbwembwe na kuipeleka Posta nikiwa najiamini kwa PCM yangu niliamini kwa 100% kuwa Mkopo nitapewa! Lakini mambo hayapohivyo, Nimekula Zero na hela ya kuhangaikia Mkopo imeliwa.
Kwa nilivyosoma NECTA walipaswa kunipa angalai D D D na sio FFF zote.
Ushinde jf kutwa halaf utake kufaulu...wenzenu kipind tunasoma tulikua tunasoma kwel.hata simu hatuzijui.hata wanawake hatuwajui...tulikua tunapiga masta tuu..nyie vijana wa sasa hiv mnataka kufaulu ilhal umnataka kwenda sambamba na dunia haitowezekana
Kwahyo wew ni bakhresa au diamond...soma bwa mdogo acha janja janja
Kwanza ni member since 2016 yaani kwamba toka yuko form three alikuwa member wa jf!
Kwa mwandiko wake tu huyu si form six FELIYAAA.
Acha fix kijana.
Sema tunaita Round aboutNashindwa hata kusalimia Wajumbe!
Mwaka 2018 nikiwa nimetulia Naandalia Kideo ghafla napigiwa Simu na Classmate wangu ananiambia Mgodi umeshatema ingia Mtandaoni uangalie matoleo, Jinsi nilivyokuwa najiamini nilimjibu kuwa Mimi siingii Mtandaoni kuangalia Matokeo bali ninaingia kuconfirm Matokeo kwani Matokeo yangu ninayajua.
Baada ya kuingia Mtandaoni nilijikuta naangusha kicheko tu baada ya kujiona nimeigegeda One ya XIV O-Level nilijiona kweli mimi najua.
Nimeingia A-Level kwa mbwembwe kama zote nikijiona wazi kuwa ninakwenda kupiga Kijiti chengine.
Nilisoma sana usiku na mchana lakini cha ajabu leo naingia kwenye Mfumo kuangalia Matokeo yangu ya Kidato cha Sita nilichoona sikuweza kuamini! Yani nimezungusha kama sijawahi kusoma.
Mimi si wakupata Sifuri.
Kila nikikumbuka kujaza Fomu ya Mkopo kwa mbwembwe na kuipeleka Posta nikiwa najiamini kwa PCM yangu niliamini kwa 100% kuwa Mkopo nitapewa! Lakini mambo hayapohivyo, Nimekula Zero na hela ya kuhangaikia Mkopo imeliwa.
Kwa nilivyosoma NECTA walipaswa kunipa angalai D D D na sio FFF zote.