Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,103
- Thread starter
- #21
Akipambana anaweza kuwa mkuu wa mkoa kama bashite
Haya matusi sasa ðŸ˜
Akipambana anaweza kuwa mkuu wa mkoa kama bashite
Vilaza weng wanaiogopa A level...tutembee kifua mbele sis tulioipasuaga na moja zetuIlitakiwa ulipomaliza form four na grade nzuri usingepoteza mda kusoma A-level. Ungechukua zako diploma ya kozi yeyote unyoipenda, sasaiv ungekuwa unamalizia na kupata fursa ya kusoma degree. Ona Sasa umepiga bashite la PCM
Hahahah yani kapost kwambwebwe kabisaAliyezungusha kweli na akawa na uchungu wa kuzungusha angekuwa kajifungia analia. Hongera kwa kufaulu
Vilaza weng wanaiogopa A level...tutembee kifua mbele sis tulioipasuaga na moja zetu
Nimecheka kama mazuri vile et bashite la PCM watu mna mambo 😅Ilitakiwa ulipomaliza form four na grade nzuri usingepoteza mda kusoma A-level. Ungechukua zako diploma ya kozi yeyote unyoipenda, sasaiv ungekuwa unamalizia na kupata fursa ya kusoma degree. Ona Sasa umepiga bashite la PCM
Umejiunga JF 2016,ulikuwa form two!!!!!Nashindwa hata kusalimia Wajumbe!
Mwaka 2018 nikiwa nimetulia Naandalia Kideo ghafla napigiwa Simu na Classmate wangu ananiambia Mgodi umeshatema ingia Mtandaoni uangalie matoleo, Jinsi nilivyokuwa najiamini nilimjibu kuwa Mimi siingii Mtandaoni kuangalia Matokeo bali ninaingia kuconfirm Matokeo kwani Matokeo yangu ninayajua.
Baada ya kuingia Mtandaoni nilijikuta naangusha kicheko tu baada ya kujiona nimeigegeda One ya XIV O-Level nilijiona kweli mimi najua.
Nimeingia A-Level kwa mbwembwe kama zote nikijiona wazi kuwa ninakwenda kupiga Kijiti chengine.
Nilisoma sana usiku na mchana lakini cha ajabu leo naingia kwenye Mfumo kuangalia Matokeo yangu ya Kidato cha Sita nilichoona sikuweza kuamini! Yani nimezungusha kama sijawahi kusoma.
Mimi si wakupata Sifuri.
Kila nikikumbuka kujaza Fomu ya Mkopo kwa mbwembwe na kuipeleka Posta nikiwa najiamini kwa PCM yangu niliamini kwa 100% kuwa Mkopo nitapewa! Lakini mambo hayapohivyo, Nimekula Zero na hela ya kuhangaikia Mkopo imeliwa.
Kwa nilivyosoma NECTA walipaswa kunipa angalai D D D na sio FFF zote.
Asee kumbe bado bwana mdogo sana we jamaa King Ngwaba.
Kwa bongo mashabiki wengi wa Liverpool ni watu wa makamo.
Umejiunga JF 2016,ulikuwa form two!!!!!
Hii chai
Nimecheka kama mazuri vile et bashite la PCM watu mna mambo
Nimecheka kama mazuri vile et bashite la PCM watu mna mambo 😅
Nakupongeza form three ulishaijua JF na kujiunga.Nilikuwa Form III sio II
Enewey! Shida nini? ðŸ˜ðŸ˜
Sio dharura master. I'm doing this for funnyKaka punguza dharau mimi nilikuwa Kipanga bahati tu haikuwa yangu
AiseeMi mwenyewe nimefeli kabla ya exam nilitukana sana watu Kama mmi ndo genius full mbwembwe matokeo yameniumbua leo naona Aibu kutoka nje mdomo umeniponza
Usinicheke bhana we acha tuAisee
Nakupongeza form three ulishaijua JF na kujiunga.
Mi mwenyewe nimefeli kabla ya exam nilitukana sana watu Kama mmi ndo genius full mbwembwe matokeo yameniumbua leo naona Aibu kutoka nje mdomo umeniponza