Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Katika jamii yetu (Tanzania) mwanamke hapati elimu bora , anaonewa ndani ya nyumba,ndani ya madaladala (usafiri),kazini.e.t.c
ili kuepusha haya mambo inabidi mwanamke apewe
-elimu bure toka shule ya msingi hadi chuo kikuu,
-kuwe na adhabu kali kwa watu wanaowaonea wanawake exmple.kubaka(hii ipo tayari)
-TAMWA wapewe nguvu kubwa kisheria ya kutetea wanawake( hapa namaanisha kama mwanamke akibaguliwa kazini kijinsia wawe na uwezo wa kumwajibisha aliyetenda hilo kosa bila ya mwanamke kukosa kazi yake)
-Mwanamke ambaye ana watoto(Mjane) au familia ya mama mmoja na watoto ipewe kipaumbele na kutotozwa baadhi ya kodi.
-Wanaume wawe na utu wa kuwaheshimu wake zao na kuwathamini kama kumfungulia mlango wa gari au kusaidia mambo ya mapishi mara moja moja.
ili kuepusha haya mambo inabidi mwanamke apewe
-elimu bure toka shule ya msingi hadi chuo kikuu,
-kuwe na adhabu kali kwa watu wanaowaonea wanawake exmple.kubaka(hii ipo tayari)
-TAMWA wapewe nguvu kubwa kisheria ya kutetea wanawake( hapa namaanisha kama mwanamke akibaguliwa kazini kijinsia wawe na uwezo wa kumwajibisha aliyetenda hilo kosa bila ya mwanamke kukosa kazi yake)
-Mwanamke ambaye ana watoto(Mjane) au familia ya mama mmoja na watoto ipewe kipaumbele na kutotozwa baadhi ya kodi.
-Wanaume wawe na utu wa kuwaheshimu wake zao na kuwathamini kama kumfungulia mlango wa gari au kusaidia mambo ya mapishi mara moja moja.