JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Haki hii imeibuka miaka ya hivi karibu kutokana na maendeleo ya teknolojia hasa kutokana na uhalisia kuwa intaneti inakusanya taarifa nyingi za watumiaji wake
Mataifa mengi yameanza kuitambua #Haki hii ambapo wananchi wake wana uhuru wa kuomba kufutwa kwa taarifa zao kwenye mtandao
=====