heavyload
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 900
- 497
Naomba msaada wa kisheria kuhusu mtahiniwa mtarajiwa kunyimwa kufanya mtihani wa kitaifa hasa wa kidato cha sita kwa tuhuma za kujihusisha kimapenzi na mwanafunzi mwezie huku akiwa ameshalipia pesa ya usajili na ameshasajiliwa kuufanya mtihani huo.Je ni sahihi kunyimwa kufanya mtihani afanyeje ili apate haki yake ikiwa amelipa ada kwa miaka miwili tena private school hadi pesa ya usajili?