Haki ya dhamana ni lazima iendane na wajibu wa kutekelezwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,571
Nipo hapa nasoma habari ya !mbunge Lijualikali kupatiwa dhamana na mahakama kutokana na kesi inayomkabili.

Pembeni nina kakitabu ka Shivji kanakozungumzia Haki ya Dhamana inavyoendana na Wajibu wa kutumikia masharti ya Dhamana hiyo.

Natamani sana kumpatia mh Lijualikali hiki kitabu, ni kizuri mno.

Maendeleo hayana vyama!
 
Bush lawyer wa Chadema aka Lisu mpya Mbowe na familia yake wanakutafuta kwa udi na uvumba kutokana na kumsababishia mpendwa wao kukaa jela miezi mitatu!
Sugar mummy la lumumba pambana na hali yako achana na upumbavu wako huu umri ummeenda
 
Hahahaa...... Kumchagua Jaji ni mchakato hata Tundu Lisu analijua hilo!
Pumbavu wew...mchakato ni mpaka ufute dhamana za wapinzani kinyume na sheria kama alivyofanya mashauri?Hii ndio tafsir ya mchakato kwa mavuvuzera wa jiwe?You are such a shameless old woman!!!
 
kwa hukumu ya jana huyo Hakimu aliyehukumu kesi ya kufuta dhamana hiyo amepoteza credibility kwa umma, naambiwa eti kwa sasa ni Jaji..ni kheri akaachana na ujaji atatute kazi nyingine ...ni aibu kubwa mno yaani funga Mwaka !!
 
Ndiyo tayari washapata dhamana hutaki kajinyonge tu
Nipo hapa nasoma habari ya !mbunge Lijualikali kupatiwa dhamana na mahakama kutokana na kesi inayomkabili.

Pembeni nina kakitabu ka Shivji kanakozungumzia Haki ya Dhamana inavyoendana na Wajibu wa kutumikia masharti ya Dhamana hiyo.

Natamani sana kumpatia mh Lijualikali hiki kitabu, ni kizuri mno.

Maendeleo hayana vyama!

In God we trust
 
Nawaonea huruma walio poteza miezi 9 kukutunza
Bush lawyer wa Chadema aka Lisu mpya Mbowe na familia yake wanakutafuta kwa udi na uvumba kutokana na kumsababishia mpendwa wao kukaa jela miezi mitatu!

In God we trust
 
Nipo hapa nasoma habari ya !mbunge Lijualikali kupatiwa dhamana na mahakama kutokana na kesi inayomkabili.

Pembeni nina kakitabu ka Shivji kanakozungumzia Haki ya Dhamana inavyoendana na Wajibu wa kutumikia masharti ya Dhamana hiyo.

Natamani sana kumpatia mh Lijualikali hiki kitabu, ni kizuri mno.

Maendeleo hayana vyama!
Wewe hujui kusoma
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom