Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,385
- 3,894
Ukiwa Genius lazima ugundue kuwa watanzania wanataka huduma bora za afya, maji safi na salama, elimu bora, miundombinu imara ya uhakika tofauti na hapo tusidanganyane
Demokrasia wakati nina njaa ni kunitapeli
Demokrasia wakati sijahudumiwa vizuri hospitali ni kunipaka pipi mdomoni
wananchi tunataka Mapambano dhidi ya Rushwa wizi wa mali za umma na ufisadi yaendelee maana haya yanadhorotesha misingi ya utawala bora
.Wanasiasa wasipoamini katika misingi ya kuwahudumia na kuwatumikia wananchi na kufuja mali za umma wataliangamiza Taifa
Demokrasia wakati nina njaa ni kunitapeli
Demokrasia wakati sijahudumiwa vizuri hospitali ni kunipaka pipi mdomoni
wananchi tunataka Mapambano dhidi ya Rushwa wizi wa mali za umma na ufisadi yaendelee maana haya yanadhorotesha misingi ya utawala bora
.Wanasiasa wasipoamini katika misingi ya kuwahudumia na kuwatumikia wananchi na kufuja mali za umma wataliangamiza Taifa