Uchaguzi 2020 HAKI: Neno gumu sana kutamkwa na Watawala kuelekea Uchaguzi Mkuu

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,702
71,013
Wooote wanaojihusisha katika usimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kutamka neno HAKI imekuwa ngumu mno kama kutamka tusi na nguoni au kukufuru, lakini wamejikita kwenye neno AMANI na wako radhi kulitamka hata mara elfu moja na moja kwa siku.

Lakini AMANI ni tunda la HAKI, au tuseme HAKI ndio mzazi wa AMANI hivyo huyo AMANI ili umtambulishe aeleweke lazima utumie na Surname yake ambayo ni HAKI yaani AMANI s/o Haki.

Sasa shida ni nini kuogopa kumuweka wazi Haki? Sio Rais, PM, VP, viongozi wa NEC, wa dini hata wale kindakindaki wa chama tawala wote ni kushabikia tuu AMANI, AMANI, AMANI lakini wanaogopa Haki Haki Haki!

Sisi tunataka Haki tu, huyo AMANI atazaliwa ndani ya mapenzi ya haki!
 
WAAMBIE ZITO KABWE NA MALIM SEIFU WAKO WANG' OKE NDANI YA CHAMA CHA ACT WAZALENDO HARAKA SAANA, YAAANI HATUWAELEWII. WAO KUCHA KUTWA KULALAMIKIA VIONGOZI WENGINE HAWAISHIMU KATIBA KUMBE WAO WENYEWE NDO WASIGINAJI WA KUBWA WA KATIBA YA CHAMA CHAO? WAMEJIFUTA KWA MUJIBU WA KATIBA YA ACT WAZALENDO. WAONDOKE HARAKA SAANA.
 
Wanajificha kweny kututisha kuwa tusivuruge amani ya nchi yetu wakati wao ndo wanatakiwa kutuongoza kwa haki ili nasi tuwe amani sasa amani bila ya haki.

Umeiona wapi imefika mahala tutashindwa kuvumilia utwana wao na huyo amani wanaemhubiri kila mahala bila ya wao kutenda haki atakosekana tu wanatz tumechoka kama noma na iwe noma kikinuka watamtawala nani?
 
Wooote wanaojihusisha katika usimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kutamka neno HAKI imekuwa ngumu mno kama kutamka tusi na nguoni au kukufuru, lakini wamejikita kwenye neno AMANI na wako radhi kulitamka hata mara elfu moja na moja kwa siku.

Lakini AMANI ni tunda la HAKI, au tuseme HAKI ndio mzazi wa AMANI hivyo huyo AMANI ili umtambulishe aeleweke lazima utumie na Surname yake ambayo ni HAKI yaani AMANI s/o Haki.

Sasa shida ni nini kuogopa kumuweka wazi Haki? Sio Rais, PM, VP, viongozi wa NEC, wa dini hata wale kindakindaki wa chama tawala wote ni kushabikia tuu AMANI, AMANI, AMANI lakini wanaogopa Haki Haki Haki!

Sisi tunataka Haki tu, huyo AMANI atazaliwa ndani ya mapenzi ya haki!
Haki huwa inawaumiza mioyo yao kabisa
 
Aliyewahi kusikia Magufuli akitamka neno "HAKI" mahali popote aweke ushahidi wa tamko hilo, nami naahidi kwa moyo mkunjufu hiyo keshokutwa kwenda kituoni na kumpigia kura ya NDIYO, bila kinyongo kabisa.

Kwa kutolitamka neno HAKI, tena maksudi ni kwamba hatendi haki na wala hanuii kutenda haki katika utawala wake.

Kumchagua Magufuli ni kukataa HAKI, kwa hiyo waTanzania kama tutamchagua kwa kura nyingi kwa utashi wetu wenyewe, maana yake ni kwamba HAKI haina maana yoyote kwetu!

Litakuwa ni jambo la kustaajabisha sana kwa waTanzania kuamua kukataa HAKI.

Ikitokea wamchague huku wakijua wanazikana HAKI zao, basi pasiwepo tena malalamishi akiwanyima HAKI hizo.
 
Wooote wanaojihusisha katika usimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kutamka neno HAKI imekuwa ngumu mno kama kutamka tusi na nguoni au kukufuru, lakini wamejikita kwenye neno AMANI na wako radhi kulitamka hata mara elfu moja na moja kwa siku.

Lakini AMANI ni tunda la HAKI, au tuseme HAKI ndio mzazi wa AMANI hivyo huyo AMANI ili umtambulishe aeleweke lazima utumie na Surname yake ambayo ni HAKI yaani AMANI s/o Haki.

Sasa shida ni nini kuogopa kumuweka wazi Haki? Sio Rais, PM, VP, viongozi wa NEC, wa dini hata wale kindakindaki wa chama tawala wote ni kushabikia tuu AMANI, AMANI, AMANI lakini wanaogopa Haki Haki Haki!

Sisi tunataka Haki tu, huyo AMANI atazaliwa ndani ya mapenzi ya haki!
Wanaogopa kwa kuwa hawatendi haki. Wanatawala kimabavu. No justice, no peace ever.
 
Aliyewahi kusikia Magufuli akitamka neno "HAKI" mahali popote aweke ushahidi wa tamko hilo, nami naahidi kwa moyo mkunjufu hiyo keshokutwa kwenda kituoni na kumpigia kura ya NDIYO, bila kinyongo kabisa.

Kwa kutolitamka neno HAKI, tena maksudi ni kwamba hatendi haki na wala hanuii kutenda haki katika utawala wake.

Kumchagua Magufuli ni kukataa HAKI, kwa hiyo waTanzania kama tutamchagua kwa kura nyingi kwa utashi wetu wenyewe, maana yake ni kwamba HAKI haina maana yoyote kwetu!

Litakuwa ni jambo la kustaajabisha sana kwa waTanzania kuamua kukataa HAKI.

Ikitokea wamchague huku wakijua wanazikana HAKI zao, basi pasiwepo tena malalamishi akiwanyima HAKI hizo.
Pasipo na haki kuna uonevu na manyanyaso mara zote.
 
Wooote wanaojihusisha katika usimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kutamka neno HAKI imekuwa ngumu mno kama kutamka tusi na nguoni au kukufuru, lakini wamejikita kwenye neno AMANI na wako radhi kulitamka hata mara elfu moja na moja kwa siku.

Lakini AMANI ni tunda la HAKI, au tuseme HAKI ndio mzazi wa AMANI hivyo huyo AMANI ili umtambulishe aeleweke lazima utumie na Surname yake ambayo ni HAKI yaani AMANI s/o Haki.

Sasa shida ni nini kuogopa kumuweka wazi Haki? Sio Rais, PM, VP, viongozi wa NEC, wa dini hata wale kindakindaki wa chama tawala wote ni kushabikia tuu AMANI, AMANI, AMANI lakini wanaogopa Haki Haki Haki!

Sisi tunataka Haki tu, huyo AMANI atazaliwa ndani ya mapenzi ya haki!
Mithali 34:14
Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote.

Pia inanenwa kuwa AMANI NI ZAO LA HAKI

Watawala wetu wanashikwa na "kigugumizi" kutamka neno HAKI, kwa kuwa wao ndiyo mabingwa wa kutoitii HAKI
 
Hata siku moja huwezi kulisikia kinywani mwa JPM
Wooote wanaojihusisha katika usimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kutamka neno HAKI imekuwa ngumu mno kama kutamka tusi na nguoni au kukufuru, lakini wamejikita kwenye neno AMANI na wako radhi kulitamka hata mara elfu moja na moja kwa siku.

Lakini AMANI ni tunda la HAKI, au tuseme HAKI ndio mzazi wa AMANI hivyo huyo AMANI ili umtambulishe aeleweke lazima utumie na Surname yake ambayo ni HAKI yaani AMANI s/o Haki.

Sasa shida ni nini kuogopa kumuweka wazi Haki? Sio Rais, PM, VP, viongozi wa NEC, wa dini hata wale kindakindaki wa chama tawala wote ni kushabikia tuu AMANI, AMANI, AMANI lakini wanaogopa Haki Haki Haki!

Sisi tunataka Haki tu, huyo AMANI atazaliwa ndani ya mapenzi ya haki!
 
Mpeni Membe haki yake
Wooote wanaojihusisha katika usimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kutamka neno HAKI imekuwa ngumu mno kama kutamka tusi na nguoni au kukufuru, lakini wamejikita kwenye neno AMANI na wako radhi kulitamka hata mara elfu moja na moja kwa siku.

Lakini AMANI ni tunda la HAKI, au tuseme HAKI ndio mzazi wa AMANI hivyo huyo AMANI ili umtambulishe aeleweke lazima utumie na Surname yake ambayo ni HAKI yaani AMANI s/o Haki.

Sasa shida ni nini kuogopa kumuweka wazi Haki? Sio Rais, PM, VP, viongozi wa NEC, wa dini hata wale kindakindaki wa chama tawala wote ni kushabikia tuu AMANI, AMANI, AMANI lakini wanaogopa Haki Haki Haki!

Sisi tunataka Haki tu, huyo AMANI atazaliwa ndani ya mapenzi ya haki!
 
Mithali 34:14
Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote.

Pia inanenwa kuwa AMANI NI ZAO LA HAKI

Watawala wetu wanashikwa na "kigugumizi" kutamka neno HAKI, kwa kuwa wao ndiyo mabingwa wa kutoitii HAKI
Ukitamka neno HAKI unawafanya watu wajiulize HAKI iwapi kwenye matukio tofauti. Wanajiuliza je fulani ametenda HAKI? Je kikundi fulani hutenda HAKI? Mawazo kama hayo huamsha jamii iweze kudai HAKI. Kudai HAKI wakubwa wanaona ndio choko choko kwani uhalali wa wao kuwepo unaulizwa. Kwa kuwa jamaa hawa ni wavunja HAKI wakubwa basi neno hilo hulisikii. Cha ajabu ni pale viongozi wa dini kwenye kamati zao za amani-nao wanakwepa neno HAKI.
 
Ndani ya vyama vya upinzani hakuna HAKI, waanze kutenda haki ndani ya vyama vyao ili haki itendeke nawao wanapo ihitaji.
 
WAAMBIE ZITO KABWE NA MALIM SEIFU WAKO WANG' OKE NDANI YA CHAMA CHA ACT WAZALENDO HARAKA SAANA, YAAANI HATUWAELEWII. WAO KUCHA KUTWA KULALAMIKIA VIONGOZI WENGINE HAWAISHIMU KATIBA KUMBE WAO WENYEWE NDO WASIGINAJI WA KUBWA WA KATIBA YA CHAMA CHAO? WAMEJIFUTA KWA MUJIBU WA KATIBA YA ACT WAZALENDO. WAONDOKE HARAKA SAANA.

Hapa ndio umejibu hoja ? hii nchi ina mabogasi wengi sana, you guys sold this country to the highest bidders na mnataka watu wakae kimya, jamaakaandika hoja wewe unakuja na personal vendetta na watu ambao huna hata vita nao
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom