Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Hizi kelele za kutaka kura ya maoni iitishwe katiba ibatilishwe JPM afie madarakani zimekuwa nyingi!Sasa kabla ya kufika huko,nadhani kumekuwa na malalamiko mengi kwa wazanzibar juu ya muungano!Wazanzibar kwa wameshapiga kelele sana iitishwe kura ya maoni juu ya muungano!Kabla ya kufikiria la JPM,tuitishe kura ya maoni Zanzibar ili tujue kama wanataka muungano au la!
Hapa najua kuna watu wataingia mitini!
Hapa najua kuna watu wataingia mitini!