Haki iko wapi kama Serikali ndiyo inaongoza kwa kufanya unyama

alikuwa hajui ata wewe uwe na garu yako unatoka kwako na kuingia barabaran moja kwa moja bila kujua kama kuna msafala af askari waanze kukushambulia
Hapo hakuna suala la alikua hajui, inamaana akutaka kujiuliza kwanini wenzake wamesimama badala yake akaona yeye ndiye mwenye haraka kuliko wenzie.? Huko ni kukosa umakini na uzembe barabarani.
 
What if kitu gani? Tanzania nzima na duniani kote hakuna mwenye ugomvi na makamu wetu wa rais. Wasiopendwa na wwatu wapo lkn sio huyu mama.
kwakuwa wewe unajua jinsi anavyoishi na watu wake wa karibu.
 
Wote utafutaji lakini kiukweli ndugu zangu boda wana shida sanaaa na tatizo lao hawaamini kuwa wanakosea boda hata akikugonga makusudi litatokea kundi wenzake kukuongezea kipondo ati ni "umoja"kwa akili ya kawaida wote unaona wamesimama hata kujiuliza? Yote kwa yote apone haraka na kuendelea na shughuli zake
 
Bila shaka nguvu iliyotumika ni kubwa sana. Boda boda naye ana kosa la kutotii 'sheria bila shuruti' awapo barabarani.

Lakini nashauri kama kuna uwezekano, hawa viongozi wakubwa watumie usafiri wa anga kutoka eneo moja kwenda lingine! Mfano helcopter na ndege za kawaida. Maana wamekuwa wakituletea usumbufu mkubwa barabarani.

Mbona wasaidizi wao (Mawaziri) tunakula nao foleni! Na kama hawawezi kupaa juu kwa juu, basi wazitanue basi barabara ili wapitapo na sisi pia tuendelee na mishe zetu! Haya mambo ya kuwekana pembeni wakati mwingine mpakaa saa nzima, yanatukera pia sisi wananchi.
Uko sahihj mkuu lakini nchi haiwezi tumia helicopter kwa sababu ya hao boda boda washenzi. Labda kwa sababu zingine ulizosema.
 
Bila shaka nguvu iliyotumika ni kubwa sana. Boda boda naye ana kosa la kutotii 'sheria bila shuruti' awapo barabarani.

Lakini nashauri kama kuna uwezekano, hawa viongozi wakubwa watumie usafiri wa anga kutoka eneo moja kwenda lingine! Mfano helcopter na ndege za kawaida. Maana wamekuwa wakituletea usumbufu mkubwa barabarani.

Mbona wasaidizi wao (Mawaziri) tunakula nao foleni! Na kama hawawezi kupaa juu kwa juu, basi wazitanue basi barabara ili wapitapo na sisi pia tuendelee na mishe zetu! Haya mambo ya kuwekana pembeni wakati mwingine mpakaa saa nzima, yanatukera pia sisi wananchi.
Mkuu usafiri wa anga unachangamoto yake kabla anasafiri lazima anga liangaliwe na hata akiwa angani muda wowote hali ya hewa ikichafuka yaan shida nyingine soo sio kwamba hawapendi bali changamoto zake nikubwa kuliko usafiri wa ardhi
 
kwan kaka mtu yyte aliye pointiwa kuwakilisha taifa na viongozi wa taifa si ndiy serikali mwenyewe huyo au hukusoma civcs
Technically upo sawa, ila kiuhalisia hapana! Huyo hakutumwa na serikali kufanya upuuzi huo, ni bichwa lake maji nfilo lilojituma! Hivyo ni makosa kuilaumu serikali yote! Naamini umenielewa!
 
Tatizo ni wewe na wengine wootee mlioshuhudia huo unyama na hakuna hatua yoyote mliyochukua dhidi ya huyo askari. Nina hakika hakuna hata aliyepiga picha tukio au kumpigia IGP au waziri husika kuripoti hilo tatizo....
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom