Msengi Kiula
Senior Member
- Jan 10, 2008
- 167
- 63
..Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na HAKI yake; na hayo yote mtazidishiwa.
.
.
...Na kazi ya HAKI itakuwa AMANI; na mazao ya HAKI yatakuwa ni UTULIVU na MATUMAINI daima...
Ooo, kumbe 'amani na utulivu' ni matokeo...
...Basi, kabla ya mambo yote,nataka DUA, na SALA, na MAOMBEZI, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu WOTE; kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya UTULIVU na AMANI katika utauwa wote na USTAHIVU...
...Maombi na maombezi ni jambo jema...
...Dhima/majukumu/wajibu wa mtu kwa TAIFA /YANAYOMZUNGUKA, (kwa lugha rahisi), ni 'tujisehemu' tu (element) ya HAKI!!
Ndiyo maana tunaishi katika mazingira
kwa mfano ya--wizi
--mauaji
---upendo
--ubinafsi
--hila
--nk nk...
Ni yapi yanakupasa?
Pasipo mashauri makusudi hubatilika; Bali kwa wingi wa washauri huthibitika.
Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
.
.
...Na kazi ya HAKI itakuwa AMANI; na mazao ya HAKI yatakuwa ni UTULIVU na MATUMAINI daima...
Ooo, kumbe 'amani na utulivu' ni matokeo...
...Basi, kabla ya mambo yote,nataka DUA, na SALA, na MAOMBEZI, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu WOTE; kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya UTULIVU na AMANI katika utauwa wote na USTAHIVU...
...Maombi na maombezi ni jambo jema...
...Dhima/majukumu/wajibu wa mtu kwa TAIFA /YANAYOMZUNGUKA, (kwa lugha rahisi), ni 'tujisehemu' tu (element) ya HAKI!!
Ndiyo maana tunaishi katika mazingira
kwa mfano ya--wizi
--mauaji
---upendo
--ubinafsi
--hila
--nk nk...
Ni yapi yanakupasa?
Pasipo mashauri makusudi hubatilika; Bali kwa wingi wa washauri huthibitika.
Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.
Sent using Jamii Forums mobile app