muzi
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 1,038
- 1,448
Sakata la wafanyakazi hewa jana limetonesha wadau wengi. Mkuu wa kaya alipambana na wafanyakazi hewa na waliofoji vyeti karibia watu 90,000 wamefukuzwa.
Sasa jana mkuu wa kaya aliamua LIVE kuonyesha mapenzi dhahiri ya kumbeba makonda kuwa hata kama hajui herufi "A" kwake sio tatizo maana aliwakamata wenye madawa ya kulevya.
Chukulia mfano kwenye familia watoto karibia wote wamefanya makosa, alafu ukaamua kuwaadhibu wachache ukamwacha mmoja unajenga taswira gan kwenye familia yako?
Hii ndo movie ya nchi ya viwanda, imekuwa nchi ya double standard kwenye sheria na taratibu zake. Tunashuhudia mimi michezo ya ajabu amabapo serikali imekuwa juu ya mihimili mingine ya bunge, mahakama.
Serikali imekuwa top decision maker kwa mihimili mingine na kupewa directive kisirisiri.
Kilio, dua na majozi ya wale 90,000 waliofukuzwa wakiwa na makosa sawa na ya makonda hiyo dhambi itawatafuna na vizazi vyenu.
Sasa jana mkuu wa kaya aliamua LIVE kuonyesha mapenzi dhahiri ya kumbeba makonda kuwa hata kama hajui herufi "A" kwake sio tatizo maana aliwakamata wenye madawa ya kulevya.
Chukulia mfano kwenye familia watoto karibia wote wamefanya makosa, alafu ukaamua kuwaadhibu wachache ukamwacha mmoja unajenga taswira gan kwenye familia yako?
Hii ndo movie ya nchi ya viwanda, imekuwa nchi ya double standard kwenye sheria na taratibu zake. Tunashuhudia mimi michezo ya ajabu amabapo serikali imekuwa juu ya mihimili mingine ya bunge, mahakama.
Serikali imekuwa top decision maker kwa mihimili mingine na kupewa directive kisirisiri.
Kilio, dua na majozi ya wale 90,000 waliofukuzwa wakiwa na makosa sawa na ya makonda hiyo dhambi itawatafuna na vizazi vyenu.