Hajui kwanini nilimuacha...

Habari wakuu,

Hii story yaweza kuwa ndefu lakini ntaifupisha kadri niwezavyo.

Nilimfahamu mwaka 2016, msichana Renatha (sio jina lake halisi) kupitia best yangu. Yeye na best ni watu wa vijiji jirani huko kwao na kuna undugu wa mbali kidogo sababu kuna watu waliowana hapo kati kati yao. Ni mpole na mkimya kwa watu asiowafahamu. Ila ni msemaji (muongeaji) mzuri tu akiwa na watu anaowafahamu. Nilipomuona sikuwahi kufikiria kumtongoza na alikua bado anasoma diploma yake chuo fulani. Nilimchukulia kama dada tu na hata alikua akiniamkia kabisa. Baadae nikaja gundua nimemzidi miaka 3 tu sema alichelewa kupata elimu na vile mi nilikua na wadhifa kazini kwangu huko aliniona mtu mkubwa sana.

Katika mazungumzo yangu na best yangu aliwahi kuniambia kama ninataka mwanamke wa kuowa, Renatha anaweza nifaa. Ni katika utani wala sikuwahi kufanya ukweli. Ila mwaka jana 2018 niliamua kumtafuta Renatha. Kwa vile namba yake nilikua nayo, haikuwa kazi ngumu kumpata.

Nikapanga naye kuonana katika mgahawa fulani na nikamweleza nilichomuitia. Alishtuka lakini akaahidi atanipa majibu kadri atakavyoona inafaa. A month later we were lovers. Na chit chat za hapa na pale. Weekend alipenda kuja kwangu. Na ndipo nilikuja kugundua ni muongeaji mno wala si mtu mkimya. Hata kauli chafu anazo sana tu.

Siku moja tukiwa ndani kwangu nilitaka "kumla" kwa mara ya kwanza. Nikaanza michezo ya hapa na pale. Lakini hakuonesha utayari, na kweli hakuwa tayari siku ile. Niliact kutumia nguvu kumvuta kumrudisha kitandani nijue kama atakaza, akalegea akarudi lakini macho yamemtoka na amefura. Nikamwacha. Nilileta pc tucheki movie. Akiwa karudi katika hali kawaida akaniuliza, hivi ulitaka kuni naniliu kweli? Nikacheka tu....akasema WE JICHEKESHE TU KAMA SHOGA KAONA WALLET. Nikamuangalia usoni nikacheka tena akarudia maneno hayo. Nikajiuliza amepata wapi ujasiri wa kumwambia mpenzi mpya maneno kama haya? Nnachojua mimi wakati wa mwanzo ndio wakati mtu anabehave vizuri sana. Achilia mbali mpenzi mpya, yaani mimi mwanaume unifananishe na shoga? Nilimsema siku chache baadaye kuwa sikupenda kauli yake.

Shida yake kubwa ni kuweka kinyongo. Unaweza fanya jambo la utani kwake akakasirika. Mkasolve. Lakini kuna siku akakumbushia jambo lile lile. Na ugomvi wetu mkubwa ulikua ni yeye kuniomba pesa kwa ajili ya sare za harusi za uswazi. I hate this. Ingekuwa 1 at a time ni sawa. Kila mwezi ni harusi anataka sare. Nikawa namtania "mama shughuli". Lakini nilikua nikimpa. Kuna siku nikamwambia huwezi mridhisha kila mtu, sio kila tukio uende. Mengine unatulia tu. Nilimvumilia tukienda hivyo.

Kuna kipindi aliumwa sana siku 3, siku ya 3 ndio ananiambia. Kuuliza kama ameenda hospital jibu hapana, familia haiko njema, na ni kweli. Naye yuko tu home unemployed. Ndio sababu hata alichelewa shule sababu kuna time alikaa tu home akikosa msaada. Nikamtumia pesa aende hospitali. Baadae nikahoji kwanini hakuniambia siku zote hizo habari za ugonjwa wake mpaka ameandikiwa sindano 5 na madawa mengi? Akasema alipanga kutoniambia ila tu hali ilizidi kumbana akawa hana namna. Sababu? Akajibu huwa namuona yeye mtumiaji hovyo wa pesa hasa za kununua sare na kumwita mama shughuli basi alipanga kutoniambia jambo lake lolote litakalohitaji pesa. I was shocked! Sikujibu kitu.

Kingine, ukimuuliza kitu hasa kupitia sms na anapoona kakosea anaamua ajibu au asijibu. Ataishia hapo. Ila baadae atakutafuta na kuanzisha mada nyingine. Labda atauliza kama nimerudi toka kazini ama la. Anaweza kwenda safari yake ila akipata tatizo huko atanipigia nimsaidie. Nikihoji mbona sina taarifa ya hiyo safari atakaa kimya. Hii ishatokea mara 2. Kuna siku alikua anaenda ofisi fulani akapotea akanipigia nimpe msaada. Mara nyingine, nauli imemuishia so nimuongezee nauli arudi nyumbani. Ila wakati anatoka kwao sikuwa na taarifa. Nikawaza, siku napata taarifa mpenzi wangu amegongwa na gari huko mbali na kwao nitajisikiaje?

Punde tu baba yangu alilazwa hospitali. Kwa siku zote 11 alizokuwa mgonjwa hakuwahi kuja kumuona hata siku 1. Walikuja marafiki zangu kadha wa kadha na ndugu na jamaa. Mtu wa kunipa faraja ndio yuko kimya. Inaweza pita siku nzima asiulize hata hali ya mginjwa. Mungu si Athumani, baba yake mkubwa akaanza kuumwa na kulazwa Muhimbili. Kila siku alikua anaenda kama si mchana basi jioni. Kwa kweli nilikosa courage ya kwenda.

Mzee wangu akaruhusiwa na nilikua naye kwangu kwa siku kadhaa kabla hajarudi home. Ilikua weekend, Renatha akaniuliza kama nipo kwangu nikamjibu ndio ila nipo na baba. Taarifa ikamshitua kumbe baba niko naye kwangu. Akasema anakuja na yuko jirani kabisa. Nikamwambia ukija nakutambulisha kama mtarajiwa wangu. Akagoma, akidai ni mapema sana. nikamwambia kama hataki bora asije. Mzee wangu hawezi nielewa eti uje tu kama rafiki tena unapajua kwangu nije hapa niseme wewe ni "normal friend" na sijawahi mvunjia heshima. Japo hata hivyo si sahihi, lakini hautakuwa uongo. Kule hospitali angeelewa wewe ni rafiki sababu walikuja wengi. Akazira na kurudi, hakufika.

Nilipanga kumwacha kabisa. Akawa ananisalim namjibu vizuri tu. Tunapiga story za chat kama kawaida ila mara zote mwanzilishi ni yeye. Akiwa kimya inaweza fika saa 7 mchana hatujajuliana hali. Akaona hali imezidi ikabidi afunguke....kwani amekosea nini? Siku zote namjibu hakuna alichokosea na akikaa kimya tunapitisha hata siku 3. Tangu huu mwaka umeanza hatujaonana. Anahisi amekosea lakini hajui na hajui kwanini namuacha. Kama angekuwa na fikra angeomba radhi japo hajui kosa lake.





Sent using my Nokia Torch
Kwani bado hujamla tu?
Tuanzie hapo kwanza.
 
Ni aina fulani ya wanawake wabinafsi ndo wanakuwaga hivyo. Ungemuoa asingeona noma kukuambia umjengee nyumba hata kama ndoa ina muda wa mwezi mmoja tu.
 
Habari wakuu,

Hii story yaweza kuwa ndefu lakini ntaifupisha kadri niwezavyo.

Nilimfahamu mwaka 2016, msichana Renatha (sio jina lake halisi) kupitia best yangu. Yeye na best ni watu wa vijiji jirani huko kwao na kuna undugu wa mbali kidogo sababu kuna watu waliowana hapo kati kati yao. Ni mpole na mkimya kwa watu asiowafahamu. Ila ni msemaji (muongeaji) mzuri tu akiwa na watu anaowafahamu. Nilipomuona sikuwahi kufikiria kumtongoza na alikua bado anasoma diploma yake chuo fulani. Nilimchukulia kama dada tu na hata alikua akiniamkia kabisa. Baadae nikaja gundua nimemzidi miaka 3 tu sema alichelewa kupata elimu na vile mi nilikua na wadhifa kazini kwangu huko aliniona mtu mkubwa sana.

Katika mazungumzo yangu na best yangu aliwahi kuniambia kama ninataka mwanamke wa kuowa, Renatha anaweza nifaa. Ni katika utani wala sikuwahi kufanya ukweli. Ila mwaka jana 2018 niliamua kumtafuta Renatha. Kwa vile namba yake nilikua nayo, haikuwa kazi ngumu kumpata.

Nikapanga naye kuonana katika mgahawa fulani na nikamweleza nilichomuitia. Alishtuka lakini akaahidi atanipa majibu kadri atakavyoona inafaa. A month later we were lovers. Na chit chat za hapa na pale. Weekend alipenda kuja kwangu. Na ndipo nilikuja kugundua ni muongeaji mno wala si mtu mkimya. Hata kauli chafu anazo sana tu.

Siku moja tukiwa ndani kwangu nilitaka "kumla" kwa mara ya kwanza. Nikaanza michezo ya hapa na pale. Lakini hakuonesha utayari, na kweli hakuwa tayari siku ile. Niliact kutumia nguvu kumvuta kumrudisha kitandani nijue kama atakaza, akalegea akarudi lakini macho yamemtoka na amefura. Nikamwacha. Nilileta pc tucheki movie. Akiwa karudi katika hali kawaida akaniuliza, hivi ulitaka kuni naniliu kweli? Nikacheka tu....akasema WE JICHEKESHE TU KAMA SHOGA KAONA WALLET. Nikamuangalia usoni nikacheka tena akarudia maneno hayo. Nikajiuliza amepata wapi ujasiri wa kumwambia mpenzi mpya maneno kama haya? Nnachojua mimi wakati wa mwanzo ndio wakati mtu anabehave vizuri sana. Achilia mbali mpenzi mpya, yaani mimi mwanaume unifananishe na shoga? Nilimsema siku chache baadaye kuwa sikupenda kauli yake.

Shida yake kubwa ni kuweka kinyongo. Unaweza fanya jambo la utani kwake akakasirika. Mkasolve. Lakini kuna siku akakumbushia jambo lile lile. Na ugomvi wetu mkubwa ulikua ni yeye kuniomba pesa kwa ajili ya sare za harusi za uswazi. I hate this. Ingekuwa 1 at a time ni sawa. Kila mwezi ni harusi anataka sare. Nikawa namtania "mama shughuli". Lakini nilikua nikimpa. Kuna siku nikamwambia huwezi mridhisha kila mtu, sio kila tukio uende. Mengine unatulia tu. Nilimvumilia tukienda hivyo.

Kuna kipindi aliumwa sana siku 3, siku ya 3 ndio ananiambia. Kuuliza kama ameenda hospital jibu hapana, familia haiko njema, na ni kweli. Naye yuko tu home unemployed. Ndio sababu hata alichelewa shule sababu kuna time alikaa tu home akikosa msaada. Nikamtumia pesa aende hospitali. Baadae nikahoji kwanini hakuniambia siku zote hizo habari za ugonjwa wake mpaka ameandikiwa sindano 5 na madawa mengi? Akasema alipanga kutoniambia ila tu hali ilizidi kumbana akawa hana namna. Sababu? Akajibu huwa namuona yeye mtumiaji hovyo wa pesa hasa za kununua sare na kumwita mama shughuli basi alipanga kutoniambia jambo lake lolote litakalohitaji pesa. I was shocked! Sikujibu kitu.

Kingine, ukimuuliza kitu hasa kupitia sms na anapoona kakosea anaamua ajibu au asijibu. Ataishia hapo. Ila baadae atakutafuta na kuanzisha mada nyingine. Labda atauliza kama nimerudi toka kazini ama la. Anaweza kwenda safari yake ila akipata tatizo huko atanipigia nimsaidie. Nikihoji mbona sina taarifa ya hiyo safari atakaa kimya. Hii ishatokea mara 2. Kuna siku alikua anaenda ofisi fulani akapotea akanipigia nimpe msaada. Mara nyingine, nauli imemuishia so nimuongezee nauli arudi nyumbani. Ila wakati anatoka kwao sikuwa na taarifa. Nikawaza, siku napata taarifa mpenzi wangu amegongwa na gari huko mbali na kwao nitajisikiaje?

Punde tu baba yangu alilazwa hospitali. Kwa siku zote 11 alizokuwa mgonjwa hakuwahi kuja kumuona hata siku 1. Walikuja marafiki zangu kadha wa kadha na ndugu na jamaa. Mtu wa kunipa faraja ndio yuko kimya. Inaweza pita siku nzima asiulize hata hali ya mginjwa. Mungu si Athumani, baba yake mkubwa akaanza kuumwa na kulazwa Muhimbili. Kila siku alikua anaenda kama si mchana basi jioni. Kwa kweli nilikosa courage ya kwenda.

Mzee wangu akaruhusiwa na nilikua naye kwangu kwa siku kadhaa kabla hajarudi home. Ilikua weekend, Renatha akaniuliza kama nipo kwangu nikamjibu ndio ila nipo na baba. Taarifa ikamshitua kumbe baba niko naye kwangu. Akasema anakuja na yuko jirani kabisa. Nikamwambia ukija nakutambulisha kama mtarajiwa wangu. Akagoma, akidai ni mapema sana. nikamwambia kama hataki bora asije. Mzee wangu hawezi nielewa eti uje tu kama rafiki tena unapajua kwangu nije hapa niseme wewe ni "normal friend" na sijawahi mvunjia heshima. Japo hata hivyo si sahihi, lakini hautakuwa uongo. Kule hospitali angeelewa wewe ni rafiki sababu walikuja wengi. Akazira na kurudi, hakufika.

Nilipanga kumwacha kabisa. Akawa ananisalim namjibu vizuri tu. Tunapiga story za chat kama kawaida ila mara zote mwanzilishi ni yeye. Akiwa kimya inaweza fika saa 7 mchana hatujajuliana hali. Akaona hali imezidi ikabidi afunguke....kwani amekosea nini? Siku zote namjibu hakuna alichokosea na akikaa kimya tunapitisha hata siku 3. Tangu huu mwaka umeanza hatujaonana. Anahisi amekosea lakini hajui na hajui kwanini namuacha. Kama angekuwa na fikra angeomba radhi japo hajui kosa lake.





Sent using my Nokia Torch

Msela vipi unatokea mikoani au? Sasa demu kukwambia kwa utani kama shoga ndio imekua ishu yakununa?

Mimi demu nikishakua namgegeda tu basi mdomo wake kwangu upo huru, cha muhimu iwe ni private tu baina yetu.
Na anapotoa kauli kama hizo majibu yangu yanakuja kwenye mgegedo.
 
Habari wakuu,

Nikacheka tu....akasema WE JICHEKESHE TU KAMA SHOGA KAONA WALLET. Nikamuangalia usoni nikacheka tena akarudia maneno hayo. Nikajiuliza amepata wapi ujasiri wa kumwambia mpenzi mpya maneno kama haya? Nnachojua mimi wakati wa mwanzo ndio wakati mtu anabehave vizuri sana. Achilia mbali mpenzi mpya, yaani mimi mwanaume unifananishe na shoga? Nilimsema siku chache baadaye kuwa sikupenda kauli yake.


Sent using my Nokia Torch

Mkuu demu ushmuingiza ndani, umeshindwa kumgegeda ultegemea uambiwe lipi jengine linalokustahiki?
 
Msela vipi unatokea mikoani au? Sasa demu kukwambia kwa utani kama shoga ndio imekua ishu yakununa?

Mimi demu nikishakua namgegeda tu basi mdomo wake kwangu upo huru, cha muhimu iwe ni private tu baina yetu.
Na anapotoa kauli kama hizo majibu yangu yanakuja kwenye mgegedo.
Kwasababu hauna adabu basi ni sawa ukidate na mwanamke asiye na adabu pia.

Ila kwa muhusika hapa habari ni tofauti yeye ana adabu so anataka mwanamke mwenye adabu pia.

Adabu ni muhimu katika mahusiano inasaidia kujenga staha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,

Hii story yaweza kuwa ndefu lakini ntaifupisha kadri niwezavyo.

Nilimfahamu mwaka 2016, msichana Renatha (sio jina lake halisi) kupitia best yangu. Yeye na best ni watu wa vijiji jirani huko kwao na kuna undugu wa mbali kidogo sababu kuna watu waliowana hapo kati kati yao. Ni mpole na mkimya kwa watu asiowafahamu. Ila ni msemaji (muongeaji) mzuri tu akiwa na watu anaowafahamu. Nilipomuona sikuwahi kufikiria kumtongoza na alikua bado anasoma diploma yake chuo fulani. Nilimchukulia kama dada tu na hata alikua akiniamkia kabisa. Baadae nikaja gundua nimemzidi miaka 3 tu sema alichelewa kupata elimu na vile mi nilikua na wadhifa kazini kwangu huko aliniona mtu mkubwa sana.

Katika mazungumzo yangu na best yangu aliwahi kuniambia kama ninataka mwanamke wa kuowa, Renatha anaweza nifaa. Ni katika utani wala sikuwahi kufanya ukweli. Ila mwaka jana 2018 niliamua kumtafuta Renatha. Kwa vile namba yake nilikua nayo, haikuwa kazi ngumu kumpata.

Nikapanga naye kuonana katika mgahawa fulani na nikamweleza nilichomuitia. Alishtuka lakini akaahidi atanipa majibu kadri atakavyoona inafaa. A month later we were lovers. Na chit chat za hapa na pale. Weekend alipenda kuja kwangu. Na ndipo nilikuja kugundua ni muongeaji mno wala si mtu mkimya. Hata kauli chafu anazo sana tu.

Siku moja tukiwa ndani kwangu nilitaka "kumla" kwa mara ya kwanza. Nikaanza michezo ya hapa na pale. Lakini hakuonesha utayari, na kweli hakuwa tayari siku ile. Niliact kutumia nguvu kumvuta kumrudisha kitandani nijue kama atakaza, akalegea akarudi lakini macho yamemtoka na amefura. Nikamwacha. Nilileta pc tucheki movie. Akiwa karudi katika hali kawaida akaniuliza, hivi ulitaka kuni naniliu kweli? Nikacheka tu....akasema WE JICHEKESHE TU KAMA SHOGA KAONA WALLET. Nikamuangalia usoni nikacheka tena akarudia maneno hayo. Nikajiuliza amepata wapi ujasiri wa kumwambia mpenzi mpya maneno kama haya? Nnachojua mimi wakati wa mwanzo ndio wakati mtu anabehave vizuri sana. Achilia mbali mpenzi mpya, yaani mimi mwanaume unifananishe na shoga? Nilimsema siku chache baadaye kuwa sikupenda kauli yake.

Shida yake kubwa ni kuweka kinyongo. Unaweza fanya jambo la utani kwake akakasirika. Mkasolve. Lakini kuna siku akakumbushia jambo lile lile. Na ugomvi wetu mkubwa ulikua ni yeye kuniomba pesa kwa ajili ya sare za harusi za uswazi. I hate this. Ingekuwa 1 at a time ni sawa. Kila mwezi ni harusi anataka sare. Nikawa namtania "mama shughuli". Lakini nilikua nikimpa. Kuna siku nikamwambia huwezi mridhisha kila mtu, sio kila tukio uende. Mengine unatulia tu. Nilimvumilia tukienda hivyo.

Kuna kipindi aliumwa sana siku 3, siku ya 3 ndio ananiambia. Kuuliza kama ameenda hospital jibu hapana, familia haiko njema, na ni kweli. Naye yuko tu home unemployed. Ndio sababu hata alichelewa shule sababu kuna time alikaa tu home akikosa msaada. Nikamtumia pesa aende hospitali. Baadae nikahoji kwanini hakuniambia siku zote hizo habari za ugonjwa wake mpaka ameandikiwa sindano 5 na madawa mengi? Akasema alipanga kutoniambia ila tu hali ilizidi kumbana akawa hana namna. Sababu? Akajibu huwa namuona yeye mtumiaji hovyo wa pesa hasa za kununua sare na kumwita mama shughuli basi alipanga kutoniambia jambo lake lolote litakalohitaji pesa. I was shocked! Sikujibu kitu.

Kingine, ukimuuliza kitu hasa kupitia sms na anapoona kakosea anaamua ajibu au asijibu. Ataishia hapo. Ila baadae atakutafuta na kuanzisha mada nyingine. Labda atauliza kama nimerudi toka kazini ama la. Anaweza kwenda safari yake ila akipata tatizo huko atanipigia nimsaidie. Nikihoji mbona sina taarifa ya hiyo safari atakaa kimya. Hii ishatokea mara 2. Kuna siku alikua anaenda ofisi fulani akapotea akanipigia nimpe msaada. Mara nyingine, nauli imemuishia so nimuongezee nauli arudi nyumbani. Ila wakati anatoka kwao sikuwa na taarifa. Nikawaza, siku napata taarifa mpenzi wangu amegongwa na gari huko mbali na kwao nitajisikiaje?

Punde tu baba yangu alilazwa hospitali. Kwa siku zote 11 alizokuwa mgonjwa hakuwahi kuja kumuona hata siku 1. Walikuja marafiki zangu kadha wa kadha na ndugu na jamaa. Mtu wa kunipa faraja ndio yuko kimya. Inaweza pita siku nzima asiulize hata hali ya mginjwa. Mungu si Athumani, baba yake mkubwa akaanza kuumwa na kulazwa Muhimbili. Kila siku alikua anaenda kama si mchana basi jioni. Kwa kweli nilikosa courage ya kwenda.

Mzee wangu akaruhusiwa na nilikua naye kwangu kwa siku kadhaa kabla hajarudi home. Ilikua weekend, Renatha akaniuliza kama nipo kwangu nikamjibu ndio ila nipo na baba. Taarifa ikamshitua kumbe baba niko naye kwangu. Akasema anakuja na yuko jirani kabisa. Nikamwambia ukija nakutambulisha kama mtarajiwa wangu. Akagoma, akidai ni mapema sana. nikamwambia kama hataki bora asije. Mzee wangu hawezi nielewa eti uje tu kama rafiki tena unapajua kwangu nije hapa niseme wewe ni "normal friend" na sijawahi mvunjia heshima. Japo hata hivyo si sahihi, lakini hautakuwa uongo. Kule hospitali angeelewa wewe ni rafiki sababu walikuja wengi. Akazira na kurudi, hakufika.

Nilipanga kumwacha kabisa. Akawa ananisalim namjibu vizuri tu. Tunapiga story za chat kama kawaida ila mara zote mwanzilishi ni yeye. Akiwa kimya inaweza fika saa 7 mchana hatujajuliana hali. Akaona hali imezidi ikabidi afunguke....kwani amekosea nini? Siku zote namjibu hakuna alichokosea na akikaa kimya tunapitisha hata siku 3. Tangu huu mwaka umeanza hatujaonana. Anahisi amekosea lakini hajui na hajui kwanini namuacha. Kama angekuwa na fikra angeomba radhi japo hajui kosa lake.





Sent using my Nokia Torch
Achana nae huyo amekosa sipha za kuwa mke
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom