Jerry santonga
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 642
- 549
Habari za muda huu wajumbe? Je ni kweli mwanamke anashindwa kujua baba wa mtoto? Ashtukie mimba ina miezi mitano?? Kweli au kuna upigaji wa wazi wazi... Je inawezekana kabisa usimjue baba wa mtoto kati ya mtu mbili ulizotembea nazo? Wa kwanza kakataa wa pili hana taarifa.
Hawa watoto wetu wa kike ni mazingaombwe, mpwa wangu mmoja wameshamtundika mimba na hajui nani ni nani kwani alikuwa anamiliki wajuba wawili na wote walikuwa wanasakata naye jeje rhumba daah inasikitisha
Hawa watoto wetu wa kike ni mazingaombwe, mpwa wangu mmoja wameshamtundika mimba na hajui nani ni nani kwani alikuwa anamiliki wajuba wawili na wote walikuwa wanasakata naye jeje rhumba daah inasikitisha