OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,170
- 103,636
Habari za wakati huu!
Ninawaomba sana wanachama, wapenzi na washabiki wa Simba tuwe watulivu na makini kuelekea fainali ya FA CUP
Uongozi wa Simba upo makini na ulishatoa maelekezo ya kutatua mgogoro uliojitokeza. Simba ni timu inayojipambanua kuendeshwa kiweledi hivyo tusimame katika misingi hiyo.
Wote wanaolumbana ni waajiriwa na muajiri yupo
Baada ya mashindano tathmini ya mwenendo mzima wa timu na watendaji wake itafanyika.
Kwa sasa mmoja wetu azingatie nidhamu, hekma na misingi ya ajira au nafasi yake katika club.
Nawaomba tuwe watulivu na tuendelee na mikakati ya michezo ijayo
Simba Nguvu Moja
Murtaza Mangungu
My Take
Bodi ichukue hatua stahiki lakini Haji Manara aonyeshwe mlango wa kutokea. Hana nidhamu ya kazi Simba Sc sio kilabu cha pombe
Ninawaomba sana wanachama, wapenzi na washabiki wa Simba tuwe watulivu na makini kuelekea fainali ya FA CUP
Uongozi wa Simba upo makini na ulishatoa maelekezo ya kutatua mgogoro uliojitokeza. Simba ni timu inayojipambanua kuendeshwa kiweledi hivyo tusimame katika misingi hiyo.
Wote wanaolumbana ni waajiriwa na muajiri yupo
Baada ya mashindano tathmini ya mwenendo mzima wa timu na watendaji wake itafanyika.
Kwa sasa mmoja wetu azingatie nidhamu, hekma na misingi ya ajira au nafasi yake katika club.
Nawaomba tuwe watulivu na tuendelee na mikakati ya michezo ijayo
Simba Nguvu Moja
Murtaza Mangungu
My Take
Bodi ichukue hatua stahiki lakini Haji Manara aonyeshwe mlango wa kutokea. Hana nidhamu ya kazi Simba Sc sio kilabu cha pombe