mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,251
CCM imetangaza nafasi kwa wanachama wake wa Dar ya ukatibu Mwenezi wa CCM mkoa baada ya aliyekuwa anashikilia hiyo nafasi kuachishwa kutokana na tuhuma za kuweka magari rehani.
Njiuliza kati ya Haji na akina Chenge,EL ,RA ni nani anayeaibiisha chama kwa tuhuma za ufisadi mbona hao waheshimiwa bado wameshikilia vyeo vyao kwenye chama kama vile wao ni wasafi
Ama kweli CCM ina wenyewe
Njiuliza kati ya Haji na akina Chenge,EL ,RA ni nani anayeaibiisha chama kwa tuhuma za ufisadi mbona hao waheshimiwa bado wameshikilia vyeo vyao kwenye chama kama vile wao ni wasafi
Ama kweli CCM ina wenyewe