Fredwash
JF-Expert Member
- Oct 27, 2009
- 1,041
- 1,375
Habari!
Haya ni maoni yangu baada ya kufanya uchambuzi mfupi.
Huyu jamaa Haji Manara huenda nyota ya mafanikio Iko mikononi mwako au kuna siri muhimu juu ya mpira wa miguu Tanzania anazijua ndizo zinazompa nguvu ya ushindi.
Imagine Yanga tuliburizwa na Simba sports miaka kadhaa tukiachwa na mipwenti mingi, kaja Manara tu kibano kimewageuka.
Asanteni.
simba alichukua ubingwa 4 yrs mfululizo Mo ana miaka minne toka arudi simba.. Manara ana miaka
6 au saba simba nikuulize wakat ule simba wanasajili wachezaji wa ndondo manara alikuwepo hiyo nyota ya mafanikio mbona hatukuiona.. nyota yamafanikio ni pesa mtoe gsm uone huyo manara atafanya nn.. mpe
heshima yake GSM