Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Ni maumivu ambayo hataisahau ,alijawa kiburi ,wakati ule alipovujisha Ile clip kwamba anaonewa babra na mo alidhani atasimamisha wanamsimbazi wamtetee kumvuruga CEO mwisho wa siku akahama yeye ,Manara mpaka Sasa haamini kama yeye ni Yanga ni kama ndotoHaji kufukuzwa Simba imempa maumivu kwenye maisha yake yote kwasababu inaependa Simba ndani ya kina cha moyo wake.