Pununkila
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 689
- 1,692
Msemaji wa Dar es Salaam Young Africans HAJI SUNDAY MANARA amekaririwa na vyombo vya habari akisema ya kuwa anaenda MAHAKAMANI kuishtaki Simba kwa kosa la kumfanyisha kazi kwa miaka mingi bila kumpatia mkataba.
Vilevile kosa Hilo ni sambamba na kutomwekea pesa zake katika mfuko wa hifadhi za jamii.
My take: Akiachwa ACHIKA ,ukishikwa SHIKAMANA
Vilevile kosa Hilo ni sambamba na kutomwekea pesa zake katika mfuko wa hifadhi za jamii.
My take: Akiachwa ACHIKA ,ukishikwa SHIKAMANA