Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,675
- 5,022
Wanakuangalia na jinsi unavyozungumza na kujitetea. Huyu kajaliwa mdomo kwahiyo haaminiki. Mwanaume hapaswi kuzungumza kama huyu Mswahili wa Kariakoo akili yake ipo mdomoniKwani mahakamani kushinda keshi ni kutokana na maneno mengi au facts?!!msimjadili mtu jadili hoja mkuu, je aliyoongea yana ukweli au?!!tatizo la watz wengi sio kwenye michezo/siasa huwa tunakimbilia kumjadili mtu badala ya kile alichokiongea!!