MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,159
- 5,399
Nani kati yao a anafaidika na mwingine.Shafi na manara ni vitu viwili tofauti.. Manara anajificha kwenye kichaka cha timu ya simba na hali yake aliyonayo kupambanae na shafii
Ila kiukweli manara hawezi kukaa mizani moja na shafii lazima atapwaya sana.. Atulize ball aendelee na kazi yake ya kubwabwaja
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini matusi mengi pia yanaelekezwa kwa manara na yy ndo anatokea nyuma kuzijibu baada ya kuwa posted na shafii.Saa zingine naona kama anatumia alivyo kuongea atakalo akijua kapewa kazi kwa upendeleo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani huyo??Saa zingine naona kama anatumia alivyo kuongea atakalo akijua kapewa kazi kwa upendeleo
Sent using Jamii Forums mobile app
Shafii yupo YangaKuna bifu lingine nje na mpira mana wote hawa wanasimba sijui shida nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mishabiki ya shafii inakera sana, sasa mnajipendeleza kwa shafii ili iweje, yule hajawahi isema simba kwa wema, mwandishi sijui mtangazaji sijui mchambuzi uchwara wa soka, na ndo wanaoiua clouds na uchambuzi ushabiki ndala wao
Hizo ndo ngonjera unaleta hapa braza, shafii hana lolote analojua ni shabiki tu kama shabiki yeyote, haji manara analinda brand ya timu, so sioni wapi watareconsileAnayoyasema ni ya uongo?
Kuna kipindi Yanga nao waliwahi kumlalamikia Shafii kwa utaratibu huu huu wa kuwaambia ukweli wasiotaka usikike.
Hizo ndo ngonjera unaleta hapa braza, shafii hana lolote analojua ni shabiki tu kama shabiki yeyote, haji manara analinda brand ya timu, so sioni wapi watareconsile