Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Mkuu wa kitengo cha habari wa Klabu ya Simba, Haji Manara amemvisha jezi ya Simba, mkuu wa wilaya ya Arumeru ambaye shabiki wa Yanga na aliyewahi kuwa Msemaji kunako timu hiyo Jerry Muro, katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha.
Hiyo ilikuwa katika Shamrashara kuelekea kuanza kwa mchezo wa ligi kuu Tanzania kati ya African Lyon na Simba.
Haji manara amefanya hivyo baada ya ahadi waliyowekeana kwamba nani atamfunga mwenzake kwenye mchezo wa watani wa Jadi, Yanga SC dhidi ya Simba SC ambapo Simba waliibuka kwa ushindi wa bao 1-0 kwa bao la Meddie Kagere MK 14 .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ilikuwa katika Shamrashara kuelekea kuanza kwa mchezo wa ligi kuu Tanzania kati ya African Lyon na Simba.
Haji manara amefanya hivyo baada ya ahadi waliyowekeana kwamba nani atamfunga mwenzake kwenye mchezo wa watani wa Jadi, Yanga SC dhidi ya Simba SC ambapo Simba waliibuka kwa ushindi wa bao 1-0 kwa bao la Meddie Kagere MK 14 .
Sent using Jamii Forums mobile app