balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,435
- 12,554
Hivi kashfa ya Haki Manara alipokuwa katibu wa CCm Dar,iliishia wapi? Jamaa alikuwa naomba magari kwa matajiri kwamba yanaenda kufanya kazi za chama kumbe yeye anayakodisha anakula pesa.Aliposhtukiwa akajiuzulu.Hapo Msimbazi vipi hapigi deal kwenye usajiri?hivi kesi ya RUSHWA dhidi ya SHAFII DAUDA aliyokumbana nayokumbana nayo kule Mwanza wakati wa maandalizi ya uchaguzi mkuu wa TFF Iliishia wapi?