Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kbs mkuu..ujanja ujanja na porojo za kahawa hauna nafasi kwenye soka la kisasa.Una hoja kubwa sana... timu ambazo zinashindana na simba CAF hazina nafasi wala roles za watu kama manara katika staffs wao... ukitizama documentary ya Enyimba wakati wanabadilika mwaka 2000 walitoa tenda kwa PWC proffessional consultancy firm na hao pwc kuna vyeo vingi sana walivifuta pale enyimba ili timu iwe ya kisasa. Na vikaleta mgogoro kwa wanaotolewa kazini.. ila miaka miwili mbele wakaenda twaa ubingwa wa CAF champions league..
Kuna wakati ili usonge mbele unahitaji ubadili viatu vizito na uvae raba ili utembee haraka
Yaah hapo ndo Haji alipokosea, anafanya kazi katika Taasisi ambayo ina udhamini mkubwa halafu anatoka hapo anaenda kuchukua ubalozi wa washindani wa mdhamini kibiashara. Hii haijakaa sawa kabisa.ila simba nao wajinga sana, tangu lini afisa habari wa Coca cola akawa ambasador wa Pepsi?
yani haji ni afisa habari wa simba, ambayo ina dhaminiwa na bidhaa za Metl, hapo hapo ni balozi wa bidhaa za Asasi na GSM washindani wa Metl...
Mind game inahusiana vp na mchezo wa weekend hii!!? Au hayo mabishano ya Barbara na manara yanawadhoofisha vp wapinzani?au yanawapa nguvu gani wachezaji wa simba?Hizo ni mind games kuelekea Kigoma lake Tanganyika ili kuwatoa kidogo wakina mzee Mpili kwenye reli kamati zimeanza kazi
Hii inshu ya Asas na GSM ndio chanzo cha tatizo.Ila simba nao wajinga sana, tangu lini afisa habari wa Coca cola akawa ambasador wa Pepsi....
Ni wakati sasa wa Simba kuhakikisha kuwa kuanzia sasa kila mfanyakazi anajaza fomu ya "conflict of interest" kuepuka matatizo ya migongano kama hii .Ila simba nao wajinga sana, tangu lini afisa habari wa Coca cola akawa ambasador wa Pepsi???
Yaani Haji ni afisa habari wa Simba, ambayo ina dhaminiwa na bidhaa za Metl, hapo hapo ni balozi wa bidhaa za Asasi na GSM washindani wa Metl.
Haji ameitumia simba kupata umaarufu, kisha akautumia huo umaarufu kutangaza bidhaa za kampuni mshindani wa wadhamini wa simba......
Nani kakudanganya we utopolo unafahamu ana hisa kiasi gani na wanachama wanahisa kiasi ganiWacha uongo Simba Ni Mali halali ya Mohamed Dewji fullstop
Ila simba nao wajinga sana, tangu lini afisa habari wa Coca cola akawa ambasador wa Pepsi???
Yaani Haji ni afisa habari wa Simba, ambayo ina dhaminiwa na bidhaa za Metl, hapo hapo ni balozi wa bidhaa za Asasi na GSM washindani wa Metl.
Haji ameitumia simba kupata umaarufu, kisha akautumia huo umaarufu kutangaza bidhaa za kampuni mshindani wa wadhamini wa simba......
Sio kiwewe tumejipanga baada ya game ya kigoma hitosikia chokochoko Mr. UtopoloKwa hiyo ni kiwewe cha kupigwa kimoja pale mkapa?
Nikufafanulie vp wkt hata mind games huzijui shida yenu utopolo yakwenu yamewashinda Sasa mnalazimisha wote tuwe sare sare caption this Simba 3 yanga uto 1Mind game inahusiana vp na mchezo wa weekend hii!!? Au hayo mabishano ya Barbara na manara yanawadhoofisha vp wapinzani?au yanawapa nguvu gani wachezaji wa simba?
Au labda utufafanulie "mind game" ipi? Au umetamka tu kufuata mkumbo
Au ndo fashion siku hz kila kitu "mind game"