OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,179
- 103,664
kama ni hivyo anaona mkataba haumlipi aondoke kwa busara tu ili kujijengea heshima hata huko Azam. Ila kwa hilo domo hata kama mini ningekuwa Azam siwezi kufanya kazi na mtu kama huyuHii inshu ya Asas na GSM ndio chanzo cha tatizo.
Pia Haji kapewa mkataba wa kufanya kazi pale Simba na huo mkataba hauruhusu mtu wa Simba kuwa balozi wa bidhaa nyingine nje ya zile zinazoifadhili timu ya Simba ndio maana anazunguka nao tu hataki kuusaini.
Namshauri Haji aende tu akafanye kazi Azam ndio atajua umaarufu wake umetokana na nini